Hii ni kumkosea heshima mh. Rais mstaafu yaani hata chuo kikuu cha dodoma huoni,mloganzila hospitali huoni, taasisi ya moyo pale muhimbili huoni,? mimi binafsi namshukuru kwa mengi sana lakini kubwa zaidi kumkata Lowassa mapema ndio kumetupatia Magufuli, sijui ingekuwaje kama bwana yule angepita.