mwananyaso
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,831
- 3,117
Media ya nini wakati ni mstaafu?J.k kikwete Bora anakwepa media angekuwa mtu wa media watu wangemsahau magu Kama raisi kwasababu ya Umaarufu.
Etii Nandy kamzidii umaarufu mzee guma aka mzee wa mbochi
Sent using Jamii Forums mobile app