lissu ni mtaalam wa sheria za mazingira , na si mtaalam wa sheria za katiba, muulize yeye mwenyewe atakuambia. Mabingwa wa sheria za katiba ni mwakyembe na prof. kabudi, upo hapo???
mbona umemsahau prof. Shivji, na dr. Mvungi
lissu ni mtaalam wa sheria za mazingira , na si mtaalam wa sheria za katiba, muulize yeye mwenyewe atakuambia. Mabingwa wa sheria za katiba ni mwakyembe na prof. kabudi, upo hapo???
Lissu anaogopwa sasa na Mashetani woooote wa CCM, Werema chukua hiyo toka kwa Warioba
Nimeshangaa mawakili wengi waliokuwamo mle ndani walikua wanacheka tu kama vile yale mambo mazito hayawaingii...Lissu ni mtu ana ufahamu mkubwa sana wa sheria..hata majudge wengi sana wanamuogopa...na ukweli wa kesi nyingi kuchelewa sio kwasababu ya wingi wa kesi pia ukilaza kwenye tasnia ya sheria!!
Naona umerejea kwa kasi Tanzania ukitokea Ethiopia Baada ya Hasira za kutopewa nafasi ya kuzungumza kwenye mazishi ya Meleslissu ni mtaalam wa sheria za mazingira , na si mtaalam wa sheria za katiba, muulize yeye mwenyewe atakuambia. Mabingwa wa sheria za katiba ni mwakyembe na prof. kabudi, upo hapo???
Mkuu hapo kwenye maoni yako mbona umesema sivyo ? ww mwenyewe umesema alisema anatania tu, kwa lugha ya kifasihi ina maana kuwa amemuona yeye ni mweupe na hana kitu, kwani ukizingatia lissu yeye si mtaalam wa sheria za katiba , yeye ni mazingira. Waatalam wa sheria sheria za katiba ni mwakyembe na prof kabudi. Hapo jibu umepata , kajipange upya na mada yako sasa
Lissu ame-major kwenye Sheria ya mazingira..fine, lakini haimaanishi hana ufahamu wa sheria kwa ujumla, na hivyo katika sheria ya katiba na tafsiri yake. Na Kama Tundu Lissu asivyo mtaalam wa sheria ya katiba na akawa na upeo mkubwa wa kuchambua sheria hiyo na KUTAFSIRI, KUICHAMBUA na kuleta ufahamu mzuri katika masikio ya tusiojua sheria (kazi iliyowashinda akina Mwakyembe, Jaji Werema, na wengine walioisomea hasa) basi atakuwa ni mwanasheria mzuri sana. Tusiwe na wivu, kwa kweli he makes sense when he speaks about it. I like the guy. Ningefurahi wale wanasheria walioisomea haswa basi waoneshe difference kwa kuitafsiri kwa watu vizuri na kwa upana zaidi ya Lissu ili watanzania tujifunze zaidi, tuone maeneo yenye utata na yale bora ili kuboresha katiba ijayo.
BIG UP Lissu.
Heading inaonyesha kama kampuuza kumbe ni big up kashiba na somo sawa basi
Nimeshangaa mawakili wengi waliokuwamo mle ndani walikua wanacheka tu kama vile yale mambo mazito hayawaingii...Lissu ni mtu ana ufahamu mkubwa sana wa sheria..hata majudge wengi sana wanamuogopa...na ukweli wa kesi nyingi kuchelewa sio kwasababu ya wingi wa kesi pia ukilaza kwenye tasnia ya sheria!!
Lissu anaogopwa sasa na Mashetani woooote wa CCM, Werema chukua hiyo toka kwa Warioba
Hiyo mihela ya tume ya katiba hivi kweli haijamrejesha Jaja Warioba kwenye kidumu cha ........
Nimeshangaa mawakili wengi waliokuwamo mle ndani walikua wanacheka tu kama vile yale mambo mazito hayawaingii...Lissu ni mtu ana ufahamu mkubwa sana wa sheria..hata majudge wengi sana wanamuogopa...na ukweli wa kesi nyingi kuchelewa sio kwasababu ya wingi wa kesi pia ukilaza kwenye tasnia ya sheria!!
Heri Dr Slaa awe Rais wa Tz kuliko Tundu Lissu kuingia Bungeni -- J K.
Jaji Warioba nampenda kwa ukweli wake.