Tanzania ndani ya miaka 50 ya kujitawala chini ya ccm na katiba ya 1977 imeendelea kuwa masikini huku ikitegemea wahisani kwa kiwango kikubwa.tupe sababu za msingi zilizo sababisha Tanzania na watanzania Kuwa masikini na kisha utueleze ni kwa jinsi gani katiba pendekezwa ilivyotoa majibu ya maswala hayoNdugu,
Mimi siyo mbinafsi katika masuala ya kitaifa. Ninaangalia masuala mapana ya kitaifa kwa sababu Katiba haiwezi kumridhisha kila mwananchi katika .
Katiba Inayopendekezwa imeziangatia masuala mapana ya kitaifa kwa maana hiyo, maoni yangu yamezingatiwa.
Ninachosubiri kwa sasa ni kupiga Kura yangu ya Maoni.
Baada ya kugundua hoja zake hazina mashiko kwa watu wenye fikra pevu kwa sababu zimeangukia katika convenience sampling badala ya random sampling,
Ndugu,Mwanadiwani tena! Nikiona post yako huwa natarajia propaganda za CCM. Huna tofauti na IDs zile zingine za propaganda za vyama vingine.
Wanasiasa wa Tanzania mlio mbele wengi wenu mmeshaishiwa.
Mwisho tu utuambie hiyo asilimia 20 kwa nini waliiondoa?
Kama tume ya katiba ilileta maoni ya wananchi kwa nini zilifutwa? kama hayakuwa maoni ya wananchi bunge lilipata wapi ubavu wa kuweka 80% ya maoni yasiyo ya wananchi ktk katiba yake pendekezwa?
mnaifanya siasa iwe ni worthless post kwa uselessness of your arguments
Kama hijapata information zaidi, unaweza kutembelea hapa,
Ndugu,
Mimi siyo mbinafsi katika masuala ya kitaifa. Ninaangalia masuala mapana ya kitaifa kwa sababu Katiba haiwezi kumridhisha kila mwananchi katika .
Katiba Inayopendekezwa imeziangatia masuala mapana ya kitaifa kwa maana hiyo, maoni yangu yamezingatiwa.
Ninachosubiri kwa sasa ni kupiga Kura yangu ya Maoni.
Mkuu Super man, asante, kumbe kuna kipengele cha ?!, elimu ya uraia kuhusu kura ya maoni, itakusaidia sana!.
Pasco
Nimeufuatilia sana thread yako hii,
Mpaka sasa zijakutana na hoja mbadala yoyote kutoka kwa UKAWA au wapiga debe wa UKAWA zaidi ya kuhororoja na kubwabwaja.
Ndugu,Rudisheni maoni ya wananchi kwenye katiba pendekezwa, ondoweni maoni ya chenge na sita kwenye katiba pendekezwa, mkifanya hivyo narudi ccm
Ndugu storageMwanaDiwani usizunguuuke sana otherwise waonyeshe wazee wajingawajinga wenzako kwamba umepost kitu baadae ukachukue buku 7 yako.
Suala ni moja, kura za NDIYOO zisipotimia zitaTImilizwa.
Ndugu,Tanzania ndani ya miaka 50 ya kujitawala chini ya ccm na katiba ya 1977 imeendelea kuwa masikini huku ikitegemea wahisani kwa kiwango kikubwa.tupe sababu za msingi zilizo sababisha Tanzania na watanzania Kuwa masikini na kisha utueleze ni kwa jinsi gani katiba pendekezwa ilivyotoa majibu ya maswala hayo
Nimeufuatilia sana thread yako hii,
Mpaka sasa zijakutana na hoja mbadala yoyote kutoka kwa UKAWA au wapiga debe wa UKAWA zaidi ya kuhororoja na kubwabwaja.
MwanaDiwani Contrast hiyoNdugu yangu Pasco.
Heading yangu imeuliza swali kama utakuwa umeisoma vizuri.
Mzee Warioba hajasema kwenye Maudhui ni 20%.
Pasco acha kumuwekea maneno mdomoni Mzee wetu!
Kura za Maoni zitatosha na kamwe haziwezi kutosheshwa kwa sababu hakuna sheria ya kutoshesha Kura za Maoni, ndiyo maana UKAWA na wapiga debe wa UKAWA wako kwenye midahalo, makongamano na mikutano ya hadhara wakiwatongoza wananchi ili waipigie kura ya HAPANA Katiba Inayopendekezwa.
Mkuu Mwana Diwani, kwani kusheshwa sio sheria ni mbinu tuu, uliwahi kuona popote sheria ya kupiga kura za "siriwazi?!",
kuna sheria yoyote inayoruhusu kupiga kura nje ya kituo cha kupigia kura?!, yote haya hakuna sheria, ila ili kutimiza malengo kusudiwa, tangu ndani ya BMK, kura hazikutosha!, zilitosheshwa!, kwa vile kule ndio ilikuwa ngumu, na zilipotosheshwa, zikatosheleza na kutosha!, kwenye kura ya maoni ni simple zaidi, ndio maana mimi nimewashauri jamaa zangu, wasipoteze muda kufanya kampeni ya kura za hapana, kwa sababu zisipo tosha zitatosheshwa!.
Wengi wanataka kuitumia Zanzibar kama kingamaji kuzuia kura zisitoshe, kwa kuhamasisha kura nyingi za hapana!, bahati mbaya hawajui, hilo kingamaji limewekwa kwenye mteremko!, maji yakija kwa wingi, yatalipanda, na kasi ya maji ikizidi, hadi hilo kingamaji nalo litasombwa na maji, kwa sababu, utaratibu wa "kutoshesha!", huko Zanzibar, ndiko ulikoanzia siku nyingi!, siku zote "sharubu" huwa zinashinda, ila zinatosheshwa, na kutangwazwa mshindwa!.
Katiba imeishapita, kinachofanyika ni taratibu tuu za kuhalalisha, kwa faida ya hawa wajaza mabakuli yetu, tunaowatembezea!, lakini kwa sisi Watanzania!, katiba ni "ndiyo!".
Pasco.
Ndugu,mtu mwenye ukoma hawezi ku-sense chochote kwenye kiungo kilicho athirika hata umfanyeje.
that's exactly what CCM is suffering from - mental and intellectual leprosy!
sio kweli kwamba ukipiga kura ya hapana unataka katiba ya zamani hapo ni kwamba kura ya hapana itafanya raisi haitishe bmk warudie kazi upya ili kuondoa hizo kasoro labda ipigiwe kura ya hapana tena ndo tutarudi kwenye katiba ya zamani! so acha upotoshaji!
Ndugu,
Hata mtu asiyefahamu kama hafahamu, hawezi kufahamu kama hafahamu.
Inawezekana UKAWA ni mmoja wa watu katika kundi ninalolisema!.
CCM kwenye siasa za Tanzania inapimwa kwenye sanduku la kura.
Kwa mara ya mwisho ilipimwa kwenye chaguzi za madiwani 27 na chaguzi za ubunge katika Jimbo la Kalenga na Chalinze.
Kuna vyama fulani baada ya kutumia helikopta 3 kwenye kampeni, vilijikuta vikiambulia madiwani 3 katika ya madiwani 27. CCM ilipata madiwani 24.
Kwenye uchaguzi katika jimbo la Kalenga, walitumia helikopta 1 kuambulia 20% ya kura zilizopigwa wakati CCM wakipata 79% ya kura.
Kwenye Jimbo la Chalinze waliamua kutumia magari na kuambulia 10.5% ya kura, wakati CCM ilipata 86.6%.
Hiyo ndiyo ''mental and intellectual leprosy'' ya CCM kwa mtazamo wako.