Pole sana mkuu. Mbwembwe nyiiingi lakini masuala yenyewe ni yale yale ya siku zote. Tena kwa kuonesha jinsi usivyo makini sijui niziite hoja au kitu gani (zako) nyingine zinajirudia rudia. Mambo mengine uliyoyaandika hayana mantiki kabisa.
Ina maana hapo kabla Zanzibar ilikuwa haina demokrasia, chaka la magaidi, chaka la madawa ya kulevya, haiheshimu haki za binadamu, hairuhusu uhuru wa kuabudu, nk., nk., nk.????!!!!
Nasema tena pole sana mkuu, kajipange upya.
Ina maana hapo kabla Zanzibar ilikuwa haina demokrasia, chaka la magaidi, chaka la madawa ya kulevya, haiheshimu haki za binadamu, hairuhusu uhuru wa kuabudu, nk., nk., nk.????!!!!
Nasema tena pole sana mkuu, kajipange upya.