Jaji Warioba ambana Jussa kuhusu Muungano wa mkataba

Wacha munkari na jazba. Tanganyika inaihitaji Zanzibar kwa nafasi yake kama vile Zanzibar inavyoihitaji Tanganyika. Hivi kwa kauli zako hizo una tofauti na kina Jussa?
 
Wacha munkari na jazba. Tanganyika inaihitaji Zanzibar jwa nafasi yake kama vile Zanzibar inavyoihitaji Tanganyika. Hivi kwa kauli zako hizo una tofauti na kina Jussa?
 
Unapokuwa kiongozi kama Jussa, na unashindwa kujenga hoja madhubuti kutetea unachomaanisha, inatia shaka sana! Aina ya vionhgozi wengi aina ya kina Jussa, ni washabiki, wabinafsi na wachoyo, na huwezi piga hatua na viongozi wa aina hii!
 
hakika sasa naamini .tatizo si muundo wa Muungano,tatizo ni ufinyu wenu wa kili,..hatuwezi kukoseshwa usingizi na mtu mwenye mifano 100 akasindwa kutupa hata mmoja,***** huyo

Hakika JUSSA anawakosesha usingizi waTanganyika na hata kumuona ni mwiba mkuu.

Hongera sana Jussa hakika wewe ni kichwa.
 
Kakke, GHIBUU, mpemba mbishi, Barubaru, Kibunango, Pakacha,

..haya Jussa anasema mfano wa muungano wa mkataba ni EAC!!

..sasa hebu ndugu zangu wa-ZNZ tuelezani ni mara ngapi mimi na Nguruvi3 tumewashauri tukajiunge EAC kuliko kupoteza muda kwenye mkataba baina ya Tanganyika na Zanzibar??
Sheria ya mabadiliko ya katiba mpya inatoa fusra kuuboresha muungano na sio kuvunja,sasa wewe kama ona hoja zaidi ongea na rais wako kikwete.

Suala hilo ma profesa na jumuiya za kiraia zimeongea sana suala hilo kwa nini suala la muungano lisitolewe kwa uhuru watu kulijadili ? Wazanzibari wanafuata misingi ya sheria,ili wasije kuikosa nafasi hii tena, tusije kutoa maoni ya kuvunja muungano halafu tukageuziwa kibao na ma bwana kwa vile sheria haitoi fursa kuvunja zaidi ya kuboresha, na ndio wazanzibari wakaamua kwa umoja wao kupendekeza muungano wa mkataba, ikiwa huo hamutaweza mutaka tukutane eac hayo ni maamuzi yenu watanganyika,lakini ufahamu leo hii kama kutaitishwa kura ya maoni zanzibar kuwaliza wananchi wanautaka au hawautaki basi jibu utalipata asilimia kuanzia 60 mpaka 80 hawautaki, ukweli ni kwamba wazanzibari kwa mfano wa ccm wanaogopa kusema ukweli hadharani kuwa hatuutaki,au tunakata mkataba.

Angalia maoni ya Borafia huko zanzibar jana hio,anasema anataka muungano wa serikali mbili,lakini kila nchi iwe na mamlaka yake kamili, hehe hapa inachekesha, huu ndi msemo wa wana ccm wote kutetea sera ya serikali mbili lakini ukienda kiundani unakuta maoni yao wanataka serkali mbili yaani ya tanganyika na zanzibar na muungano wa mkataba.

Ila ccm wanazunguka duwara katika kutoa maoni.


Kama munataka uhalisia wa maoni ya muungano, mwambie kikwete amuamuru shein,mana shein kletwa zanzibar kwa kupitia kikao cha dodoma,na yupo zanzibar kutekeleza sera ya ccm sio ya ASP kama alivyo waeleza Amani karume Katika kikao cha dodoma. Tupeni kura ya maoni zanzibar mutapata jibu halisia.
 
@GHIIBUU,

..mimi naunga mkono mashirikiano kati ya ZNZ na TGK kupitia EAC.

..nimesikitishwa na kitendo cha Ismail Jussa kutamka msimamo huo mbele ya Jaji Warioba, badala yake anakuja kutoa msimamo wake kwenye mtandao.

..Jussa aliulizwa specifically kuhusu suala hili lakini akaogopa kusema, badala yake anakuja kuandika makala kwenye mzalendo.net. Hapo ametuangusha mashabiki wake wa huku Tanganyika.

NB:

..kuhusu KURA YA MAONI, Jussa hakuizungumzia, wala hakuna mtu mzito ndani ya ZNZ anayeizungumzia.

..tatizo la kura ya maoni ni hawa waZNZ 350,000 walioko huku Tanganyika. uwezekano mkubwa ni wote watapiga kura ya kuunga mkono muungano na harakati za kuuvunja zitakwisha.
 
Tuweke wazi tunamhitaji nani? Sisi tunasema tutaamua aina ya muungano mkishindwa ondokeni.
Mumeng'ang'ania mkataba wa kitu gani Baru baru!

Elewa kuwa Tanganyika kila kichwa kinafanya kazi kivyake. Hatukuweka rehani akili zetu kwa Jusa au Ahmed.
Wewe hapo ulipo huwezi kutetea muungano wa mkataba maana yake ni nini, unawezaje kuwasota vidole Watanganyika?
Sababu ya kushindwa kutetea hoja ni matokeo ya kulishwa hoja na kuanza kuimba bila tafakuri, hilo linawezekana ukishauka bahari hasa chumbe kueleke mashariki si katika nchi ya Tanganyika.

Baru baru ndugu yangu leo umekimbia hoja zote za serikali 3, muungano wa Uswiss, mkataba wa 1964, muungano wa makao na Hong kong leo unasema mkataba.

Tunachoshangaa ni kuwa ninyi si mlisema Tanganyika wakoloni? Sasa kwanini bado mnataka kujibanza kwa wakoloni. Kama mnaitaka Tanganyika mkubali kuwa mtakuwa taifa ndani ya taifa, mtake msitake na huo ni ukweli tu.

Nasema mtake au msitake kwasababu baada ya kupewa ukumbi hakuna hata mmoja anyefungua kinywa na kusema tuvunje muungano. Kila mmoja anataka mkataba. Ondokeni kama mnaona hamsikilizwi.

Tutasema haya kila siku, kijiografia, uchumi, kisiasa na kiutamaduni ZNZ inaihitaji Tanganyika, period.
Mtabaki kumlaani Nyerere majukwaani na kwenye makongomano, mkimaliza kila mmoja anapanda meli kuja kupumua Dar es Salaam. Seif Sharif ana makazi, Hamad Rashid ana makazi, Sheni ana Makazi, Jumbe ana makazi mtoto wa muasisi Karume ana makazi , Raza ana makazi n.k. Wasio na makazi ni washona madema ambao masikini husimama na kusema chochote hata kama ni kujiumiza ili mradi kasema fulani.

Baru baru, hoja hapa ni kuwa kwanini mnataka mkataba na Tanganyika na si ule wa EU, Uswiss au EAC mnaoutamani sana. Why Tanganyika. Pili tume hiyo ipo mbele yenu kwanini watu wamekuwa mabubu ,tume ikiondoka wanafungua vinywa ovyo.

Honestly, I wish ZNZ waondoke hata kabla ya adhuhuri maana sioni cha maana ninachoweza kufikiri kuwa uwepo wake utamsaidia Mtanganyika! hakuna hata kimoja. Let them GO! tumechoka kusikia porojo zao za kitoto.

Porojo za kitoto maana mtu anaposema eti Tanganyika inawaibia, huyo anahitaji kumuona Daktari.
Itakuwa na maana zaidi kwenda kuiba Kariakoo au Manispaa ya Ilala kuliko SMZ.
Lakini WZN hizo ndizo zao na hoja hizo wamefundishwa na kukariri vema.

Baru baru, hebu niambie Tanganyika inaihitaji ZNZ kwa kitu gani cha maana.


Labda tuweke wazi nini msimamo wenu waTanganyika?

Kumbuka kumbuka kuwa waZnz wamechoka kabisaaaaaaa na huo mvungano na wamesha table issue hiyo bayana kila mtu anajuwa hilo. Wao wamechoka pia sasa tatizo lipo wapi?


 
Bwanyenye umerudi..umeamua tetea watumwa zenu? Kama wapo huru mbona wana lugha tofautia bara na visiwani?mbona wasiwe na huo uhuru popote?Pengine hujui tofauti ya unafiki na uhuru.Mnafiki yupo huru kwa ian afulani kwa vile ana version nyingi za aongeacho hadi pale atakapobanwa. watu wake wapi akina Mwinyi, na diria, salmin na wengine ni wabara?Waulize kwanini hawajengi Zenj?Huo ndio uzalendo wa wazenj?


Huna jipya wewe. Kazi kubwa kuuwa vikongwe tu na kukata viungo vya albino.
 
Huna jipya wewe. Kazi kubwa kuuwa vikongwe tu na kukata viungo vya albino.
bwanyenye wewe siku nyingine unageuka mosmi, siku nyingine mmbea.Hivi unadhani Napo Albino walikuwa salama na uvivu wa samaki?Hizi unadhani kwanini Zenj na pwani nzima hawaibiani?Hakuna hofu ya Mungu,kuna hofu ya Nguvu za Giza, kushushana mabusha,na mengine,
 
JOKA KUU.

Ahali yangu Ubaguzi upo zaidi Tanganyika hata ukipitia katika mitandao ya huko utaona mtazamo wenu kuhusu Znz na waZnz kuona kama wao ni wafadhwiliwa na Tanganyika. jambo ambalo si kweli.

Lakin vile vile Barza ya Mzalendo ni open forum kwa kila mtu. Kama unaona au kuhisi waTanganyika mnaonewa basi na wewe jiunga huko ili utetee maslahi yenu kama walivyo waZnz ambao umewataja kuwa wanatetea maslahi ya Znz.

nakushauri ahali angu acha uoga , jitose kutetea haki zenu na sio kulalama vipembeni.

nafikiri kujiunga kwako huko kutaleta na kuufana mnakasha uwe mzuri sana kwani Hakuna Yanga bila Simba.

Karibu wewe na wenzako mzalendo. net. Kwani si kosa mtu kujiunga na forum zaidi ya moja kwani kote unakuwa huru kuweka mambo yako.
 
Back
Top Bottom