Jaji Ramadhani: Mniombee mapenzi ya Mungu yatimie

Jaji Ramadhani: Mniombee mapenzi ya Mungu yatimie

wapiga dili wote roho zinauma sana, huyu mtu akitajwa, mwisho wa magumashi umewadia.
 
Nakuombea Mungu Judge, napenda unyenyekevu wako na usafi wako wa moyo unao akisi usafi wako dhini ya rushwa na uchafu mwingine.
 
Nakuombea Mungu Judge, napenda unyenyekevu wako na usafi wako wa moyo unao akisi usafi wako dhini ya rushwa na uchafu mwingine.

Alishindwa kuisafisha rushwa kwenye mahakama kwa kuruhusu wenye pesa kuzawadiwa haki leo ije kuwa kwa Taifa zima? na upole wake ndo kikwazo kwake katika kuiweza nchi kwasahivi hatuitaji waseminari ila tunataka wasafi
 
Back
Top Bottom