Jaji Ramadhani: Mniombee mapenzi ya Mungu yatimie

Jaji Ramadhani: Mniombee mapenzi ya Mungu yatimie

Jaji akuwa anafanyakazi yake Kwa haki kwani alikuwa na kadi ya ccm ndio iliyomfanya kuja sasa agombee atubu kwanza Kwa Mungu
 
Ila watu kwa kuhukumu hamjambo!
Aliyewaambia mumishi yyt hawezi/hafai kua raisi ni nan?

Mnataka tuache Giza litawale huko siasani!?
Nuru ni lazima,jaji kuwa mchungaji/kasisi hakuzuii yy kuwa raisi
 
Ila watu kwa kuhukumu hamjambo!
Aliyewaambia mumishi yyt hawezi/hafai kua raisi ni nan?

Mnataka tuache Giza litawale huko siasani!?
Nuru ni lazima,jaji kuwa mchungaji/kasisi hakuzuii yy kuwa raisi

Dada yangu huyo wakimchagua CCM imekula kwao.Kumbuka walishatukanwa kwa sababu ya ile RASIMU ya KATIBA.

Hivyo kama ni asilimia basi yeye ni 0.000000000000000000000001 kuteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Chama Chetu Cha Mafisadi.

Pili kule Mwenyekiti anateuliwa na PESA sasa huyu hana hizo pesa.
 
Hivi sasa hivi kuna mgombea urais? Huu ndo uandishi kanjanja, woote hata Mr. El kila mmoja anaomba apendekezwe na chama chake ili awe mgombea. Msituchanganye, tafadhari sana.
 
nani akuombeee, rudi kwenu makunduchi ukaungamishe
 
Ha ha ha team lowasa mavi debe,sijui mtarudishaje mkwanja wa watu aisee.
 
kama system inamkubali, ni rahisi wananchi kumkubali mana system ipo kwa maslahi ya nchi na wananchi
 
Nyie bavicha muwe mnafikiri kabla yakuropoka! Nani anastahili kutubu kat ya dr slaa na jaji ramadhani?
Jaji akuwa anafanyakazi yake Kwa haki kwani alikuwa na kadi ya ccm ndio iliyomfanya kuja sasa agombee atubu kwanza Kwa Mungu
 
the banker

Yatatimizwa pale atakapo mkiri Kristo kuwa ni Bwana na mwokozi wa maisha yake na kujitoa kuieneza Injili zaidi ya hapo atumie njia ya shetani siasa za Afrika uwongo, uchawi, wizi na ulagha mwingii na hii ndizo njia za shetani Mungu hapendi.
 
Last edited by a moderator:
Nyie bavicha muwe mnafikiri kabla yakuropoka! Nani anastahili kutubu kat ya dr slaa na jaji ramadhani?

Hapa anazungumziwa jaji Kwa nini alikuwa jaji mkuu na anakadi ya chama chenu alikuwa anapingana na katiba anatakiwa atubu kwanza
 
Back
Top Bottom