johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,607
Jaji Ramadhani hizi ni zama za NURU kuongoza, utawala wa giza hauna nafasi tena. Sisi tunamwomba Mungu jambo hili lipate kibali chake nawe ukawe mteule wake utakayeliongoza taifa hili la maziwa na asali yaani Tanzania. Penye nuru giza hutoweka lenyewe, WEWE NI NURU!!