mechard Rwizile
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 1,571
- 875
Bila kuweka maneno mengi, Jaji amekosea sana.Nae hana aibu kama Prof. Lipumba. Kwa mtindo aliondoka( Prof. Lipumba) nao CUF, asingerundi katika mtindo anaotaka kurudi nao.Jaji Mtungi usifanye watanzania wote mazuzu, na hiyo dhambi unayo ifanya itatafuna mpaka kizazi chako.