Ni msemaji wa CCMHivi ameshathibitishwa! Ni chama gani?
Hakuna hata moja ya maana.Mwenye notable case alizoamua atuwekee hapa
Muda mreefu sana mkuuHivi ameshathibitishwa! Ni chama gani?
Loh, lost completely what is taking lace hereMuda mreefu sana mkuu
nasema hivyo maana tumkuwa na watu hawana kesi challenging walizozisimamia. Angalia law reports zetu zimejaa watu wa kutukuka kama Lugakingira, Katiti, Kyando, Mroso, Kalegeya................. . Huyu sijamuona popteHakuna hata moja ya maana.
Oknasema hivyo maana tumkuwa na watu hawana kesi challenging walizozisimamia. Angalia law reports zetu zimejaa watu wa kutukuka kama Lugakingira, Katiti, Kyando, Mroso, Kalegeya................. . Huyu sijamuona popte
Hivi ameshathibitishwa! Ni chama gani?
Ni msemaji wa CCM
Mi namkubali kwa alichokisema ni ukweli mtupu. Hii itasaidia pia kwa majaji, mahakimu kuweza kufanya kazi zao kwa ufanisi huku mawakili nao wasiwe wazembe katika kazi zao ili haki iweze kutendeka.Jaji Mkuu wa Tanzania Prof Ibrahim Hamisi Juma amewataka mawakili wapya kutokuwa vikwazo vya utoaji wa haki kwa kutumia kanuni kuchelewesha haki wala mawakala wa rushwa kwa kudanganya wananchi kuwa wanawapelekea fedha mahakimu au jaji.
HahahahahaMODS,
Unaona mada hii inavyokosa wachangiaji na kupata wachangiaji vituko kwa kuileta huku kwa wanasiasa. Peleka Jukwaa la sheria hii kitu.