storyteller
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 1,511
- 1,831
Jaji mkuu wa Tanzania Ibrahim Juma amaesema sio sahihi kufananisha mahakama zetu na mahakama za Kenya na kusema mahakama zetu zipo huru zaidi
Watanzania tunajiaminishaga sana kwa maneno.
Jaji mkuu wa Tanzania Ibrahim Juma amaesema sio sahihi kufananisha mahakama zetu na mahakama za Kenya na kusema mahakama zetu zipo huru zaidi
Benson Burner naona yupo kimya sana labda kwa vile hajapewa teuzi?Hawa maprof wa Magu sijui huwa anawapatia wapi
Prof.Ibarahimu Lipumba=Prof.Ibrahim JumaInitial name yake ndio inaniudhi zaidi kwa kuwa namkumbuka yule wa CUF
Maana zile kura hata wataalam wakiyahudi walishindwA kupata jibu lkn lubuva alipata jibu...Kama mahakama ziko huru atupe njia ya kufuata ili kura za urais kati la Lowasa na Magufuli zihesabiwe upya.
Yes kama akili itakuwa kama ya yule Propesa, tumekwisha na kuna alama zinaelekea huko! Umeniacha hoi kwa kicheko! Sitamuita mtoto Ibrahim.... NEVER!Initial name yake ndio inaniudhi zaidi kwa kuwa namkumbuka yule wa CUF
Yes kama akili itakuwa kama ya yule Propesa, tumekwisha na kuna alama zinaelekea huko! Umeniacha hoi kwa kicheko! Sitamuita mtoto Ibrahim.... NEVER!
Ile press conference ilikuwa ya nini kama mahakama? Nimemshangaa sana. Lile jina hatari. Ngoja nilianzishie uzi, lakini najua mods wataufuta. Jina hilo!Hahahaaaa! Mie nilistukia tangia day one niliposikia uteuzi ; but the more we advance the more the dalilis not gud.
Tumwombee asikengeuke kwa sababu ni mtu muhimu sana kwa mustakabali wa utendaji haki.
Hivi alikuwa anajisikia kweli kipindi anatamka hayo maneno?!
Umewaza mbali mkuuNamkumbuka prof.lipumba.
labda anamaanisha mahakama ya ndizi pale mabibo
"Katiba"Mwana demokrasua wenu Uhuru kasema kuwa kile kilichofanywa na court ni coup de ta in his 21.09.2017 speech at state house.
jiulize baada ya yeye kushinda nini kitaipata mahakama ya kenya!
wewe unasema kuna uhuru wa mahakama kuliko Tz..
Uhuru uliopitiliza ni uwendawazimu.
Uhuruto: Wewe unatengua maamuzi ya wanainchi milioni 15 ukiwa kama nani kwanza?Kwa David Maraga atasubiri sana na uprofesa wake.
Ajitazame kwenye kioo aseme kama anaweza kumdindia Magu kama Maraga alivyofanya kwa Uhuru!
Mchakato wa kumpata CJ wa Kenya sio hisani ya Rais. Yeye kachomeshwa mahindi miezi tisa hadi mimba imekuwa mtoto ndiyo kupewa u CJ