Makamu wa Mkuu wa Chuo huteuliwa na Rais. Iweje Jaji mstaafu afanye kazi hiyo?
Hacha dharau kijana mbona UDSM ni kama manzese tu,google uone ni cha ngapi kwa Ubora hapa Afrika.Rais huteua makamu wa UDSM tu....huko chooni kwenu mtajua wenyewe
Meela! Public Universities Act ya lini hiyo? Huenda ni mpya. Mm naijua Universities Act No. 7 ya 2005.
Because of his working experience and committementWhy?
Alikuwa Depute Vc Academic Nelson Mandelakabla ya uteuzi huu alikuwa wapi?
Baada ya interview inasemekana alikuwa rank ya 3, nadhani huyo kusiluka alikuwa namba 1. Wenye habari wafunguke zaidi. Ila Itika alikuwa mzuri tu ktk kipindi chote alichokuwa ana act kwa mujibu wa wadau walioko huko.Prof Itika kwanini kabaniwa?
Nasikia Mzumbe hawana udini, wao ni kazi tu! Ila sua wao ndiyo nasikia kuna kambi. Vipi udsm? Na muslim university? Vipi st. University nazo?Tuseme Wachaga pale Mzumbe tuandike maumivu!!
Kume elezwa kifungu hapo juu kinachompa mamlaka ya kuteua hivyo haja vunja sheria.Makamu wa Mkuu wa Chuo huteuliwa na Rais. Iweje Jaji mstaafu afanye kazi hiyo?
Nyumbani kwake.kabla ya uteuzi huu alikuwa wapi?
nadhani hujaelewa swali langu!!!Nyumbani kwake.
asante kwa taarifa!Alikuwa Depute Vc Academic Nelson Mandela
Makamu wa Mkuu wa Chuo huteuliwa na Rais. Iweje Jaji mstaafu afanye kazi hiyo?