JAJI MASAJU AKEMEA VITENDO VYA KUIKASHIFU MAHAKAMA, "NANI ANASEMA MAHAKAMA HAIKO HURU"
Jaji Mkuu wa Tanzania, George Masaju hii leo Disemba 05, 2025 ameonya kuwa tabia ya kuisema vibaya Mahakama kwa Umma kuwa haitendi haki wakati watu hao wakiwa wameshindwa kesi inalenga kuichafua Mahakama, kuidhalilisha hadharani na kuhatarisha misingi ya uhuru wa kimahakama nchini.
NAKUKUMBUSHA: KESI ZINAZOHUSI SERIKALI NA WAPINZANI AU MKUBWA SERIKALINI ANA MASLAHI NA KESI HIZO, ZIKO A BILLION TIMES COMPROMISED!
Jaji Mkuu wa Tanzania, George Masaju hii leo Disemba 05, 2025 ameonya kuwa tabia ya kuisema vibaya Mahakama kwa Umma kuwa haitendi haki wakati watu hao wakiwa wameshindwa kesi inalenga kuichafua Mahakama, kuidhalilisha hadharani na kuhatarisha misingi ya uhuru wa kimahakama nchini.
NAKUKUMBUSHA: KESI ZINAZOHUSI SERIKALI NA WAPINZANI AU MKUBWA SERIKALINI ANA MASLAHI NA KESI HIZO, ZIKO A BILLION TIMES COMPROMISED!