Mikael Aweda
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 2,973
- 3,901
MWENENDO WA KESI KUENDESHWA KWA NJIA YA SIMU NA INTERENETI.
Wakuu,
Kuna taarifa ktk gazeti la Mwanahalisi kuwa Mahakama itaanza kutumia simu na mtandao wa interneti kuwasiliana na wateja wao ( washtaki na washtakiwa)
Hayo yalisemwa na Jaji mkuu wa Tanzania Othman Chande wakati wa hafla ya kuapishwa kwam majaji 10 walioteuliwa na Rais JK.
Namnukuu, serikali imejipanga kuboresha mfumo wa mahakama hasa ktk usikilizwaji wa mashauri kwa kuboresha mfumo wa kurekodi mwenendo wa mashauri hayo. Ktk uboreshaji huo pia mahakama inatrajia kutambulisha huduma mpya ya taarifa kwa njia ya simu, ambapo wananchi wenye kesi mahakamani watapafa fursa ya kutambua/kufahamu mienedo ya kesi zao kupitia simu za mikononi, alsema Jaji Othman.
Mfumo huo pia utanenda sambamba na mfumo wa internet ambapo nakala za mashauri yaliyotolewa mahakamani yatawekwa humo mtandaoni.
My take,
Mimi naona kama ni hatua nzuri ya kupunguza mrundikano wa watu mahakamani.
Wakuu,
Kuna taarifa ktk gazeti la Mwanahalisi kuwa Mahakama itaanza kutumia simu na mtandao wa interneti kuwasiliana na wateja wao ( washtaki na washtakiwa)
Hayo yalisemwa na Jaji mkuu wa Tanzania Othman Chande wakati wa hafla ya kuapishwa kwam majaji 10 walioteuliwa na Rais JK.
Namnukuu, serikali imejipanga kuboresha mfumo wa mahakama hasa ktk usikilizwaji wa mashauri kwa kuboresha mfumo wa kurekodi mwenendo wa mashauri hayo. Ktk uboreshaji huo pia mahakama inatrajia kutambulisha huduma mpya ya taarifa kwa njia ya simu, ambapo wananchi wenye kesi mahakamani watapafa fursa ya kutambua/kufahamu mienedo ya kesi zao kupitia simu za mikononi, alsema Jaji Othman.
Mfumo huo pia utanenda sambamba na mfumo wa internet ambapo nakala za mashauri yaliyotolewa mahakamani yatawekwa humo mtandaoni.
My take,
Mimi naona kama ni hatua nzuri ya kupunguza mrundikano wa watu mahakamani.