PostGE2025 Jaji Chande anatoa ONYO kama nani, asifikiri enzi hizi ni sawa na enzi zao

PostGE2025 Jaji Chande anatoa ONYO kama nani, asifikiri enzi hizi ni sawa na enzi zao

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
24,144
Reaction score
56,411
Badala ya Tume kujenga ukaribu na wananchi ili wapate wanachokitaka wamejipa mamlaka ya upolisi na kuanza kuwafokea.

Namshauri huyu Mkiti wa Tume, kuliko kuanza kujibizana na vijana wadogo bora amalizie miaka yake iliyobaki kwa kucheza na wajukuu zake nyumbani, lkn kama amechagua tamaa ya pesa za posho na amekubali kuaibishwa na GenZ, basi aendelee na vitisho hata heshima ndogo aliyostaafu nayo itapotea.

Kwanza polisi ilisema ukikutwa na picha za mauaji ya Mo29 ni kosa la uhaini, leo anataka kulazimisha watu watume picha ili wakamatwe.

G9J9HZZW4AAlK2E.jpg
 
Namshauri huyu Mkiti wa Tume, kuliko kuanza kujibizana na vijana wadogo bora malizie miaka yake iliyobaki kwa kucheza na wajukuu zake nyumbani, lkn kama amechagua tamaa ya pesa za posho na amekubali kuaibishwa na GenZ, basi aendelee na vitisho hata heshima ndogo aliyostaafu nayo itapotea.

Kwanza polisi ilisema ukikutwa na picha za mauaji ya Mo29 ni kosa la uhaini, leo anataka kulazimisha watu watume picha ili wakamatwe.

View attachment 3521332
Kwanza polisi ilisema ukikutwa na picha za mauaji ya Mo29 ni kosa la uhaini, leo anataka kulazimisha watu watume picha ili wakamatwe.😂
 
Kukutwa picha hizo itakuaje kosa la uhaini? Sheria ya wapi hii? Mapicha yenyewe yapo mitandaoni ya kumwaga! Hii tume nayo ni kama imekataliwa tu, naona inakosa ushirikiano toka kwa waathirika wa tukio lile. Hii tume inaweza ikaja na abrakadabra katika ripoti yake, maana imekosa ushirikiano
 
Namshauri huyu Mkiti wa Tume, kuliko kuanza kujibizana na vijana wadogo bora amalizie miaka yake iliyobaki kwa kucheza na wajukuu zake nyumbani, lkn kama amechagua tamaa ya pesa za posho na amekubali kuaibishwa na GenZ, basi aendelee na vitisho hata heshima ndogo aliyostaafu nayo itapotea.

Kwanza polisi ilisema ukikutwa na picha za mauaji ya Mo29 ni kosa la uhaini, leo anataka kulazimisha watu watume picha ili wakamatwe.

View attachment 3521332
LOFA mwingine huyu!
 
Huwa naangalia maofisa wenye nafasi za kimamlaka huko maofisini wanavyotuna na kuongea na kutembea kwa mbwe mbwe naishia kusema.......Hiiiiiiiiii! 😂
Magari makali, masuti nini. Lakini wengi ni weupe ajabu, hii nchi kutopiga hatua sio bahati mbaya. Hakuna namna ndio wengi tulionao.

Ila wao wanajuana sana tu, kwamba kuna lenzetu zero kabisa ila limeshika kitengo kikubwa.
 
Back
Top Bottom