Hakuna shida msigwa akitupa updates za ikuluYaani ukifungua Ukurusa wa Haniu unaikuta Habari hiyo hiyo ambayo Msigwa nae ameiweka kitu ambacho nadhani kungekuwa na Utaratibu mzuri tu wa Kiutendaji basi Jukumu hilo angekuwa analifanya Mtu Mmoja pekee.
Nadhani (Ushauri wangu Binafsi) hiki Cheo cha Ukurugenzi wa Ikulu kingeongezewa pia na Jukumu la kuwa Msemaji wa Serikali na hiyo Idara ya MAELEZO nayo ingekuwa chini yake pia.
Mpaka hivi sasa GENTAMYCINE natafuta 'Logic behind' Kuzitenganisha hizi Nafasi za Jaffar Haniu wa Ikulu na Gerson Msigwa wa MAELEZO sijaipata ila ninachokiona tu sasa ni kama vile Gerson Msigwa ' wants to outshine ' Jaffar Haniu wa Ikulu ili Yeye ( Msigwa ) aendelee kuwa ' Masikioni ' mwa Watanzania wakati Kiuhalisia muda wake wa Kusikika ulihitimika rasmi tarehe 17 Machi, 2021.
Na Wewe ' Brother ' Jaffar Haniu wa Ikulu anza ' Kuchangamka ' sasa kwani tunaokujua tokea ukiwa TBC na AMG tunajua ' you're very far Professionally ' kuliko huyo Gerson Msigwa anayejitutumua na kuwa na ' Kiherehere ' mno katika Awamu hii ya Mama ( Rais ) kuliko ile ya aliyekuwa akimpenda na akimbeba ya Mwendazake (Hayati) wa Chato.
Na msipoangalia 'mtarogana' ile mbaya.
Kule FB gerson bado kajiandika DPC wakati hayupo ofisi.
Kule usemaji wa serikali msigwa hapawezi, hana uwezo wa kuitetea 10 + 11=111.
Huo uwezo hana, namjua vzr
Msigwa akubali kuwa enzi za kitabu chake umeisha. Mbona simple!!!Yaani ukifungua Ukurusa wa Haniu unaikuta Habari hiyo hiyo ambayo Msigwa nae ameiweka kitu ambacho nadhani kungekuwa na Utaratibu mzuri tu wa Kiutendaji basi Jukumu hilo angekuwa analifanya Mtu Mmoja pekee.
Nadhani (Ushauri wangu Binafsi) hiki Cheo cha Ukurugenzi wa Ikulu kingeongezewa pia na Jukumu la kuwa Msemaji wa Serikali na hiyo Idara ya MAELEZO nayo ingekuwa chini yake pia.
Mpaka hivi sasa GENTAMYCINE natafuta 'Logic behind' Kuzitenganisha hizi Nafasi za Jaffar Haniu wa Ikulu na Gerson Msigwa wa MAELEZO sijaipata ila ninachokiona tu sasa ni kama vile Gerson Msigwa ' wants to outshine ' Jaffar Haniu wa Ikulu ili Yeye ( Msigwa ) aendelee kuwa ' Masikioni ' mwa Watanzania wakati Kiuhalisia muda wake wa Kusikika ulihitimika rasmi tarehe 17 Machi, 2021.
Na Wewe ' Brother ' Jaffar Haniu wa Ikulu anza ' Kuchangamka ' sasa kwani tunaokujua tokea ukiwa TBC na AMG tunajua ' you're very far Professionally ' kuliko huyo Gerson Msigwa anayejitutumua na kuwa na ' Kiherehere ' mno katika Awamu hii ya Mama ( Rais ) kuliko ile ya aliyekuwa akimpenda na akimbeba ya Mwendazake (Hayati) wa Chato.
Na msipoangalia 'mtarogana' ile mbaya.
Kwni bado Msigwa naye anatembea nyuma ya mama kama enzi za Mwendazake?? Ofisi anamwachia nani? Awe makini anaweza kunyofolewa kwakutojua mipaka ya kazi yake, akasome vizuri JD yakeMpaka hivi sasa GENTAMYCINE natafuta 'Logic behind' Kuzitenganisha hizi Nafasi za Jaffar Haniu wa Ikulu na Gerson Msigwa wa MAELEZO sijaipata ila ninachokiona tu sasa ni kama vile Gerson Msigwa ' wants to outshine ' Jaffar Haniu wa Ikulu ili Yeye ( Msigwa ) aendelee kuwa ' Masikioni ' mwa Watanzania wakati Kiuhalisia muda wake wa Kusikika ulihitimika rasmi tarehe 17 Machi, 2021.
Ahahahhaaha...we jamaa nakukubali sana Mkuu..Kwasababu GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ni " Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer " tu Mkuu.
Ulichokiandika hapa Mkuu nakuhakikishia ' Kimewakwaza ' Watu wengi tu wenye ' Kisununu ' nami hapa JamiiForums na usishangae ukiona wengine wakija na wakikuambia kuwa hii ID yako ni Mimi mwenyewe na najipigia ' Promo ' hapa.Ahahahhaaha...we jamaa nakukubali sana Mkuu..
Jina ( ID ) niliyoichagua na Kuitumia hapa JamiiForums huu ni mwaka wa nane sasa ya GENTAMYCINE Wewe nikijitaja nayo mara kwa mara hapa inakutesa nini au inakupunguzia nini? Pumbavu.Mkuu mbona Unapenda Sana kujitaja kwenye threads zako,huwezi kubadilika,mbona unajikuta Sana wewe?
Gentamycine, in kipindi kirefu nakufuatilia huwa unakuwa na NONDO za maana sana, kiufupi nakukubali, pia ni mnyama mwenzangu! Kwani kunaubaya gani kumsifia MTU.Ulichokiandika hapa Mkuu nakuhakikishia ' Kimewakwaza ' Watu wengi tu wenye ' Kisununu ' nami hapa JamiiForums na usishangae ukiona wengine wakija na wakikuambia kuwa hii ID yako ni Mimi mwenyewe na najipigia ' Promo ' hapa.
Akhsante, Shukrani na Ubarikiwe Mkuu.Gentamycine, in kipindi kirefu nakufuatilia huwa unakuwa na NONDO za maana sana, kiufupi nakukubali, pia ni mnyama mwenzangu! Kwani kunaubaya gani kumsifia MTU.