Jaffar Haniu na Gerson Msigwa, kubalianeni nani wa kutoa Habari za Rais. Mnatuchosha na kutuboa tu

Kwasababu Jafar Haniu ni Muislam lazima mama atamweka kibindoni, yule Msigwa mla kitimoto lazima apelekwe mbali huko
 
Yaani ukifungua Ukurusa wa Haniu unaikuta Habari hiyo hiyo ambayo Msigwa nae ameiweka kitu ambacho nadhani kungekuwa na Utaratibu mzuri tu wa Kiutendaji basi Jukumu hilo angekuwa analifanya Mtu Mmoja pekee.

Nadhani (Ushauri wangu Binafsi) hiki Cheo cha Ukurugenzi wa Ikulu kingeongezewa pia na Jukumu la kuwa Msemaji wa Serikali na hiyo Idara ya MAELEZO nayo ingekuwa chini yake pia.

Mpaka hivi sasa GENTAMYCINE natafuta 'Logic behind' Kuzitenganisha hizi Nafasi za Jaffar Haniu wa Ikulu na Gerson Msigwa wa MAELEZO sijaipata ila ninachokiona tu sasa ni kama vile Gerson Msigwa ' wants to outshine ' Jaffar Haniu wa Ikulu ili Yeye ( Msigwa ) aendelee kuwa ' Masikioni ' mwa Watanzania wakati Kiuhalisia muda wake wa Kusikika ulihitimika rasmi tarehe 17 Machi, 2021.

Na Wewe ' Brother ' Jaffar Haniu wa Ikulu anza ' Kuchangamka ' sasa kwani tunaokujua tokea ukiwa TBC na AMG tunajua ' you're very far Professionally ' kuliko huyo Gerson Msigwa anayejitutumua na kuwa na ' Kiherehere ' mno katika Awamu hii ya Mama ( Rais ) kuliko ile ya aliyekuwa akimpenda na akimbeba ya Mwendazake (Hayati) wa Chato.

Na msipoangalia 'mtarogana' ile mbaya.
Hakuna shida msigwa akitupa updates za ikulu

Punguza kiherehere
 
Yaani ukifungua Ukurusa wa Haniu unaikuta Habari hiyo hiyo ambayo Msigwa nae ameiweka kitu ambacho nadhani kungekuwa na Utaratibu mzuri tu wa Kiutendaji basi Jukumu hilo angekuwa analifanya Mtu Mmoja pekee.

Nadhani (Ushauri wangu Binafsi) hiki Cheo cha Ukurugenzi wa Ikulu kingeongezewa pia na Jukumu la kuwa Msemaji wa Serikali na hiyo Idara ya MAELEZO nayo ingekuwa chini yake pia.

Mpaka hivi sasa GENTAMYCINE natafuta 'Logic behind' Kuzitenganisha hizi Nafasi za Jaffar Haniu wa Ikulu na Gerson Msigwa wa MAELEZO sijaipata ila ninachokiona tu sasa ni kama vile Gerson Msigwa ' wants to outshine ' Jaffar Haniu wa Ikulu ili Yeye ( Msigwa ) aendelee kuwa ' Masikioni ' mwa Watanzania wakati Kiuhalisia muda wake wa Kusikika ulihitimika rasmi tarehe 17 Machi, 2021.

Na Wewe ' Brother ' Jaffar Haniu wa Ikulu anza ' Kuchangamka ' sasa kwani tunaokujua tokea ukiwa TBC na AMG tunajua ' you're very far Professionally ' kuliko huyo Gerson Msigwa anayejitutumua na kuwa na ' Kiherehere ' mno katika Awamu hii ya Mama ( Rais ) kuliko ile ya aliyekuwa akimpenda na akimbeba ya Mwendazake (Hayati) wa Chato.

Na msipoangalia 'mtarogana' ile mbaya.
Msigwa akubali kuwa enzi za kitabu chake umeisha. Mbona simple!!!
 
Mpaka hivi sasa GENTAMYCINE natafuta 'Logic behind' Kuzitenganisha hizi Nafasi za Jaffar Haniu wa Ikulu na Gerson Msigwa wa MAELEZO sijaipata ila ninachokiona tu sasa ni kama vile Gerson Msigwa ' wants to outshine ' Jaffar Haniu wa Ikulu ili Yeye ( Msigwa ) aendelee kuwa ' Masikioni ' mwa Watanzania wakati Kiuhalisia muda wake wa Kusikika ulihitimika rasmi tarehe 17 Machi, 2021.
Kwni bado Msigwa naye anatembea nyuma ya mama kama enzi za Mwendazake?? Ofisi anamwachia nani? Awe makini anaweza kunyofolewa kwakutojua mipaka ya kazi yake, akasome vizuri JD yake
 
Mkuu mbona Unapenda Sana kujitaja kwenye threads zako,huwezi kubadilika,mbona unajikuta Sana wewe?
 
Ahahahhaaha...we jamaa nakukubali sana Mkuu..
Ulichokiandika hapa Mkuu nakuhakikishia ' Kimewakwaza ' Watu wengi tu wenye ' Kisununu ' nami hapa JamiiForums na usishangae ukiona wengine wakija na wakikuambia kuwa hii ID yako ni Mimi mwenyewe na najipigia ' Promo ' hapa.
 
Mkuu mbona Unapenda Sana kujitaja kwenye threads zako,huwezi kubadilika,mbona unajikuta Sana wewe?
Jina ( ID ) niliyoichagua na Kuitumia hapa JamiiForums huu ni mwaka wa nane sasa ya GENTAMYCINE Wewe nikijitaja nayo mara kwa mara hapa inakutesa nini au inakupunguzia nini? Pumbavu.
 
Ulichokiandika hapa Mkuu nakuhakikishia ' Kimewakwaza ' Watu wengi tu wenye ' Kisununu ' nami hapa JamiiForums na usishangae ukiona wengine wakija na wakikuambia kuwa hii ID yako ni Mimi mwenyewe na najipigia ' Promo ' hapa.
Gentamycine, in kipindi kirefu nakufuatilia huwa unakuwa na NONDO za maana sana, kiufupi nakukubali, pia ni mnyama mwenzangu! Kwani kunaubaya gani kumsifia MTU.
 
Msigwa akafanye kazi chini ya yule dakatari wa mabox ambaye ndiye katibu mkuu wa wizara, kazi ya msemaji wa ikulu amwachie mhusika mwenyewe aache kuleta wenge.
 
Kwani zile barua za teuzi za sasa, huwa zina sahihi ya nani kati ya Msigwa na Haniu?

Kwemye kuweka sahihi yake oale ndie mwenye mamlaka.
 
Back
Top Bottom