Kuna walakini kama huo uhusiano wa kuwakamata watuhumiwa kutokana na uhusiano wa kipolisi wa nchi na nchi basi nao polisi ya UK iwakamate waliokula hela za rada na kuwarudisha watuhumiwa wetu ili tuwashulikie. Isije kuwa tuu ni ushabiki wa kisiasa alionao Kova kwani nani asiye mjua kova kwa kufanya kazi kama kibaraka wa siasa?
Huenda Pemba hajawahi kukichangia chama chetu kitukufu..
NB: Ktk mafioso system hii inaitwa 'protection funds'..
Close call.
kibaka mmoja hivi wa magomeniuyu jack pemba ndo nani wakuu, anafanya nini, kama kuna mtu ana data za kutosha, weka hapa..
Hawa jamaa athee kweli puppets on the strings JP katoka UK kama hiyo benki ilikua na ushahidi what stopped them from prosecuting whilst he was in UK. Hii ndio wazungu wanaita africans are bu*t skin, wenyewe kwa wenyewe tuna umana. Leave the dude alone ajaibia Tz, so whats the fuc*en problem. Umaskini wa mawazo bana.
Kuna mijambazi inaua kila siku mnashindwa kuikamata embu hawa masiwa waache roho za kimaskini. Kuna mijizi kedekede ya serikali ambayo inaitia taifa hasara na bado ipo loose.
hawa jamaa athee kweli puppets on the strings jp katoka uk kama hiyo benki ilikua na ushahidi what stopped them from prosecuting whilst he was in uk. Hii ndio wazungu wanaita africans are bu*t skin, wenyewe kwa wenyewe tuna umana. Leave the dude alone ajaibia tz, so whats the fuc*en problem. Umaskini wa mawazo bana.
Kuna mijambazi inaua kila siku mnashindwa kuikamata embu hawa masiwa waache roho za kimaskini. Kuna mijizi kedekede ya serikali ambayo inaitia taifa hasara na bado ipo loose.
Kama kova amemkamata huyu bwana kwa sababu kaiingiza mkenge Exim bank ya huko Uk basi yatakuwa ni mambo ya interpol ambayo ni mambo ya kawaida. Pia Kova angefanya uchunguzi kabla ya kumkamata.
Kuna walakini kama huo uhusiano wa kuwakamata watuhumiwa kutokana na uhusiano wa kipolisi wa nchi na nchi basi nao polisi ya UK iwakamate waliokula hela za rada na kuwarudisha watuhumiwa wetu ili tuwashulikie.
Isije kuwa tuu ni ushabiki wa kisiasa alionao Kova kwani nani asiye mjua kova kwa kufanya kazi kama kibaraka wa siasa?