Kennedy
Platinum Member
- Dec 28, 2011
- 59,248
- 69,819
Duh!upo sahihi mkuu!
Yaani Mkuu ni ajabu na kweli wenzao wanakamatwa lakini wao wanakwenda kubeba tena kabla yakwenda kubeba semba akiwa hapa nyumbani alisikia habari ya Masogange,Mwanamuziki wa fm academia,maiti ya Moro
Lakini akafanya moyo mgumu akabeba na kwenda huko alikokamatwa kwa kweli Serikali inatakiwa iwe makini yaani akiachiwa kule akija hapa afungwe tena maisha.