Kubeba sembe ni hatari akitoka huko tutamsahau atakuwa bibi aisee pole yake
Karibu sana binamu,missing youLulu nae alivyotoka jela aliokokaga , sijui siku izi ulokole umeishia wapi
Mmh!! Kipindi kile ndo anatoka jela lulu yeye na biblia tu full pambio za kumsifu mungu, siku izi naona anaimba nyimbo za kina justin beiber mmh!! Kweli lulu kiboko
Niliokoka na mimi, sasa ivi nimetoka jela na ulokole nimeuacha uko uko mkuu
Yes binamu, ahsante sana zilakina niliona thread yako kule, dah shukrani sana aiseeh nilifurahi kukumbukwa
Yes miaka haisimami...wamuachie Sasa jaqMiaka sita ishapita toka hiyo tarehe 11/08/2014.....please China free our Jack Cliff.
Andamana mkuuMiaka sita ishapita toka hiyo tarehe 11/08/2014.....please China free our Jack Cliff.
Lazima tuandamane mpaka ubalozi wa chinaAndamana mkuu
Ashaachiwa kitambo kwa uko nnchi gani weweLazima tuandamane mpaka ubalozi wa china
Kaachiwa kitambo na anakipindi star tv since corona haijashika hatam
Kaachiwa kitambo na anakipindi star tv since corona haijashika hatam
Ashaachiwa kitambo kwa uko nnchi gani wewe
Aliyeachiwa ni Binti Kiziwi,huyoJack sina uhakika kama alisha achiwa,wenye kujua watujuze.Uongo labda umechanganya mafile