J.P Magufuli sio chaguo la Mungu

J.P Magufuli sio chaguo la Mungu

Mijitu mingine bana yani ww hata ukielimishwa hutaelewa nakuacha kama ulivyo maaana nmeandika kitu kirahisi halafu huelewi

unajua maana ya kuelimiasha? hauna uwezo wa kunielimisha kwa sababu moja tu hauna uwezo wa kujenga hoja yenye mashiko badala yake unaendekeza unafiki,
 
huna lolote ungekuwa na kitu cha maana cha kutujuza ungetwambia nani ulifikiri ni changuo la mungu ili tuchambue,
pili ungejibu maswali yangu ukieleza kilichokufanya usema kwanini sio chaguo la mungu,kama hauna basi uzi wako ni udaku tu.

Labda nikusaidie maana ww ni mgumu kuelewa nimekwambia hivi viongozi wa dini walituaminisha kwamba mtu fulani ni chaguo la Mungu kwahyo kwa mantiki hyo Magufuli sio chaguo la Mungu ni kama na hoji ndugu nakuuliza nini kitatukuta kwa kuchagua kiongozi ambae hata watumishi hawakumuona lets say kwenye maono yao ya maombi. Umeelewa au bado
 
Magufuli aje kutuambia je, zina million 156 daily capacity charge wataendelea kulipwa DOWANS/RICHMOND?

Je, wakulima na masikini wa Tanzania watandelea kunyonywa kupitia mafuta taa bei juu?

Je, Magufuli atuambie zile Million 700 ni za nini?

je mfupa alioushindwa mkapa, yeye atauweza?

Je, Pombe magufuli,,,, utalinda wazee waliofilisi nchi na maakiba yao USWISS?

Je Magufuli... Pesa za USWISS utarudisha..w

Je waziri Wa ujenzi utamteua nani?

Waziri wa fedha ni Saada Mkuya tena

Je magufuli, shillingi yetu vipi
Maswali ya msingi sana Mkuu
 
Na wasiwasi na huyo Mungu ambae tunaaminishwa kuwa ni chaguo lake.Si huyu Mungu tunaemfahamu.Naamini neno hili utumika kuwatisha na kuwaaminisha watu ili wampigie mtu kura za ndio.Tunaona hapa chaguo la huyo "Mungu"ambaye sio huyu wa Wakristo na Waislamu. Wizi umezidi kushamiri,ufisadi,Rushwa,Uchumi kudidimia nk.Naamini huyo Mungu si huyu ila naamini na yule aliye opposite na Mungu.Ingepe.deza zaidi wangesema chaguo la Shetani kwa mambo tunayoyaona sasa hapo inge make sense
 
Kwa sisi wakristo na waislamu tuliaminishwa na Mapadre,Wachungaji,Masheikh kwamba mtu fulani ndio chaguo la Mungu.

Kwa mantiki hiyo basi Dr John sio chaguo la Mungu.Je ni kitu gani kitatupata watanzania kwa kuwa na raisi ambae sie chaguo la Mungu?

Tujiulize na tujijibu wenyewe juu ya hili swala maana nahisi laana ya Mungu inatujia according to maneno ya Viongozi wetu wa dini kwa kukiuka mapenzi yake ya kuchagua mtu sie

Kamulize kilaini
 
hakuna mwanasiasa ambaye chaguo la Mungu duniani kote
 
Kuna mchungaji alifika mbali zaidi na kusema EL adsipokuwa rais atajiua
Njaa mbaya sana, ikikupiga sana tumboni huamia kichwani
SINA IMANI NA UKAWA
 
Magufuli aje kutuambia je, zina million 156 daily capacity charge wataendelea kulipwa DOWANS/RICHMOND?

Je, wakulima na masikini wa Tanzania watandelea kunyonywa kupitia mafuta taa bei juu?

Je, Magufuli atuambie zile Million 700 ni za nini?

je mfupa alioushindwa mkapa, yeye atauweza?

Je, Pombe magufuli,,,, utalinda wazee waliofilisi nchi na maakiba yao USWISS?

Je Magufuli... Pesa za USWISS utarudisha..

Je waziri Wa ujenzi utamteua nani?

Waziri wa fedha ni Saada Mkuya tena

Je magufuli, shillingi yetu vipi


-----------------------------------------------

Kuna uzi unasema kuwa Mh. Muhongo amechukua form ya ubunge Musoma vijijini na atapewa uwaziri...

ESCROW na madudu yake...

Serikali ya JK itarudi karibu Nusu...

Mauwaji ya Tembo...
 
Back
Top Bottom