Hope hataishia hapaView attachment 2550381
For the first time since leaving her former record label, Konde Music Worldwide, artist Anjella has collaborated with musician Izzo Bizness to release a new song titled "It's Okay"
View attachment 2550379
Nakumbuka huo mwaka anatoa hyo ngoma na barnaba na shaa ilitakiwa kabsa tuzo za kili achukue kabsa yy pamoja na quick rocka ft ngwear ila waliwabania tu ngoma zilikua kali sana 2013- au 2012 ileIzo alitoaga wimbo wa mapenzi kaimba na Barnaba na Shaa.. Dah ile ngoma noma.
Na ule mwingine wa kigumu kaimba na Suma Lee.
Mbali na izo nyimbo sijawahi muelewa.
Hata kwenye ongea na mshua?Izo alitoaga wimbo wa mapenzi kaimba na Barnaba na Shaa.. Dah ile ngoma noma.
Na ule mwingine wa kigumu kaimba na Suma Lee.
Mbali na izo nyimbo sijawahi muelewa.
Ilo la Ngwea na Quick Rocka aisee 🙌🙌Nakumbuka huo mwaka anatoa hyo ngoma na barnaba na shaa ilitakiwa kabsa tuzo za kili achukue kabsa yy pamoja na quick rocka ft ngwear ila waliwabania tu ngoma zilikua kali sana 2013- au 2012 ile
Aaaah wewe hyo ya izzo na shaa na barnabas ni moto mkuu umeskiliza shaa alivoua ......? Achana na shaa emu msikilize barnaba alivochinja kabsa ..?Ilo la Ngwea na Quick Rocka aisee 🙌🙌
Ngoma kali aliyowahi toa Izzo nikaikubali sana niView attachment 2550381
For the first time since leaving her former record label, Konde Music Worldwide, artist Anjella has collaborated with musician Izzo Bizness to release a new song titled "It's Okay"
View attachment 2550379