Izingatiwe na UKAWA haraka sana!

Izingatiwe na UKAWA haraka sana!

Eti watendaji wa chini! Wengi wetu tunaishi katika maeneo ya mijini tunaona rahisi ila huko vijijini mna watu? Hebu niambie haraka kwenye ubunge mmesimamisha wagombea majimbo mangapi kati ya majimbo 264?
Je watendaji unaowazungumzia si ndiyo mliwatukana ni wasaliti walipohama wote Bunda kwa mfano? Ndiyo mmeanza kuona umuhimu wao?


Wewe acha kuongea bila kutumia akili.
Chadema ilisimamisha wagombea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa watashindwaje kuwa na watendaji wa chini kabisa?
Kwani chadema unawaonaje? Masikini sana? Au hawana watendaji hadi chini kabisa.
 
Sijui utaratibu ukoje wakati wamajumuisho!
JE, WAKIMALIZA KUHESABU KURA KWENYE KITUO MAJUMUISHO KWENDA KATA NA JIMBO YAKOJE? MABOX YAPELEKWA HUKO AU?
 
Tunawaomba wana UKAWA na viongozi wote wa UKAWA mdhibiti suala hili;

- Hakikini vituo vyote 65000 kituo kwa kituo kwa kuvikagua katika maeneo yote vilipo nchi nzima!
- Baada ya kuvikagua vipeni identity numbers vituo vyote 65000 vitakavyotumika kwa upigaji kura Tanzania yote!

Utaratibu huu utasaidia sana katika kuvichuja 'vituo batili au feki' vinavyotaka kuongezwa na wahuni wachache ndani ya mfumo.

Vituo vile ambavyo ndivyo vilivyopewa identity number ndivyo pekee vitakavyoruhusiwa kuwasilisha matokeo for special identity keys.


Ninashauri zoezi hili lianze mara moja kwa viongozi wa UKAWA baadhi yao kulikalia rohoni na kuhakiki.


Nawasilisha..

Mnapagawa sana ukawa huku kushindwa kwenu kumeshawachanganya kila siku mnaropoka yasio na tija.
 
Nilipendekeza nitengeze app ya android bure ili tuweze ku geotag vituo vyote ili tuzuie bao la mkono lkn wenzangu wa ukawa walikula pini. Bado nafasi ipo. App itaweza kutoa coordinates mahali kituo kilipo, kura ngapi na taarifa nyingi kadri zitakavyohitajika, zikiwemo picha, sauti na video

HILO NI JEMA SANA!
UONE UONGOZI !

n.b/
****
lengo kuu la IDENTITY ni kukataa baadhi ya vituo ambavyo huenda vikawepo sirini!
hasa/
(makambini) ama popote Pale ISIVYO HALALI!
 
inatakiwa muajiri vijana 65000 haraka sana,kila mmoja apewe kituo chake na mawasilian ya uhakika ili aweze kuwatumia matokeo haraka.....
 
Back
Top Bottom