Iwe siku yenye baraka kwetu sote!

Iwe siku yenye baraka kwetu sote!

Jesus servant

Member
Joined
Mar 15, 2026
Posts
55
Reaction score
126
Mungu wetu ni mwema sana!
tunakuomba Rehema na utukufu wako,utulinde na Kila baya, na Kila adui,na Kila maradhi , na Kila madhila ya Dunia hii!
Tunakuomba ututendee miujiza kwenye Nchi yetu,tutakalo na tuombalo litimie kwa uwezo wako,

Tuponyeshee wagonjwa wetu twakuomba! Tuondolee pepo la matusi na dhiaka katika mtandao huu na mengineyo! Ameen Ameen!

Tukumbuke kutoa sadaka kwa Kila muitaji,na kwa Kila anaeeneza injili ya bwana,
Ameen!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom