Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 13,226
- 26,048
Inaelekea unaishi Burundi Mpuuzi weweMagufuli hachafukiki.
Humu penyewetu walishachemsha na ugreat wao wote.
Inaelekea unaishi Burundi Mpuuzi weweMagufuli hachafukiki.
Humu penyewetu walishachemsha na ugreat wao wote.
Apambane na waliomtishia aachane na The late JPM
Umesahau ukabila na ukandaMazuri yoote ya MAGUFULI mfano UWAJIBIKAJI,msimamo yanafutwa na machache ya kikinga
wasiojulikana kuteka,kutesa,kupoteza watu Ni hapo TU yanafuta mema yote
Mtajuana wenyewe, dadeeeeki huu ni mwanzo tuKama Nape Nnauye anamaanisha Jemedari aliyetangulia mbele za haki Mhe. Dr John Pombe Magufuli kuwa Godfather wa PolePole basi anapaswa kutuomba radhi.
Iwapo anahisi the so called Godfather alimshindwa basi ajue nyuma ya Godfather lipo kundi kubwa sana la MaGrand GodFathers. Pia ni muhimu kujua kwamba Hata Godfather wake anaweza kuondoka siku moja na God grand Father akachukua hatamu. Hakuna atakayekaa kwa amani iwapo atamchafua the late and the legend JPM.
Makundi yote ndani ya CCM yajiepushe kuchafua viongozi wetu waadilifu waliopita .
Ipo siku tutahoji kifo cha Magufuli
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Lovely.Ipo siku tutahoji kifo cha Magufuli
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
pe Nnauye anamaanisha Jemedari aliyetangulia mbele za haki Mhe. Dr John Pombe Magufuli kuwa Godfather wa PolePole basi anapaswa kutuomba radhi.
Iwapo anahisi the so called Godfather alimshindwa basi ajue nyuma ya Godfather lipo kundi kubwa sana la MaGrand GodFathers. Pia ni muhimu kujua kwamba Hata Godfather wake anaweza kuondoka siku moja na God grand Father akachukua hatamu. Hakuna atakayekaa kwa amani iwapo atamchafua the late and the legend JPM.
Makundi yote ndani ya CCM yajiepushe kuchafua viongozi wetu waadilifu waliopita .
Ipo siku tutahoji kifo cha Magufuli
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Ataomba kwenye chama ...chama hakimuogopi mtu
Ni wapi alipotaja majina huyo Nape?acheni kuendeshwa kihisia nyie waChatoKama Nape Nnauye anamaanisha Jemedari aliyetangulia mbele za haki Mhe. Dr John Pombe Magufuli kuwa Godfather wa PolePole basi anapaswa kutuomba radhi.
Iwapo anahisi the so called Godfather alimshindwa basi ajue nyuma ya Godfather lipo kundi kubwa sana la MaGrand GodFathers. Pia ni muhimu kujua kwamba Hata Godfather wake anaweza kuondoka siku moja na God grand Father akachukua hatamu. Hakuna atakayekaa kwa amani iwapo atamchafua the late and the legend JPM.
Makundi yote ndani ya CCM yajiepushe kuchafua viongozi wetu waadilifu waliopita .
Ipo siku tutahoji kifo cha Magufuli
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Nadhani anatafutiwa timing tu na akiliwa kichwa ataliwa jumla kuliko Chalamila.hadi leo huwa sijui kwanini happi bado yupo kwenye hii serikali. huwa sielewi kabisa kwasababu wenzake wote walishadondokea pua. kwa kiburi kile cha kumkemea JK hadharani na kumtishia kumshughulikia? kitoto kidogo kama kile kinamtishia Rais Mstaafu aliyetawala nchi kwa miaka 10. just imagine.huwa hata sielewi.
Kumbe Magufuli madaraka yake yalikuwa kama ya Mwenyekiti wa kitongoji. Unamdanganya Nani au unajidanganya mwenyewe?? Muuaji ataendelea kutambulika kwa jina hilo maana mlimsifu kwamba anaua wanaokwamisha maendeleo.Gaidi wenu alihusika sana yaani aliteka ili Magufuli aonekane mbaya
acha ijivunie kwani ilipambana kuleta uhuru
Ila kwa sababu ya kiburi chao atadharauKama Nape Nnauye anamaanisha Jemedari aliyetangulia mbele za haki Mhe. Dr John Pombe Magufuli kuwa Godfather wa PolePole basi anapaswa kutuomba radhi.
Iwapo anahisi the so called Godfather alimshindwa basi ajue nyuma ya Godfather lipo kundi kubwa sana la MaGrand GodFathers. Pia ni muhimu kujua kwamba Hata Godfather wake anaweza kuondoka siku moja na God grand Father akachukua hatamu. Hakuna atakayekaa kwa amani iwapo atamchafua the late and the legend JPM.
Makundi yote ndani ya CCM yajiepushe kuchafua viongozi wetu waadilifu waliopita .
Ipo siku tutahoji kifo cha Magufuli
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Kama Nape Nnauye anamaanisha Jemedari aliyetangulia mbele za haki Mhe. Dr John Pombe Magufuli kuwa Godfather wa PolePole basi anapaswa kutuomba radhi.
Iwapo anahisi the so called Godfather alimshindwa basi ajue nyuma ya Godfather lipo kundi kubwa sana la MaGrand GodFathers. Pia ni muhimu kujua kwamba Hata Godfather wake anaweza kuondoka siku moja na God grand Father akachukua hatamu. Hakuna atakayekaa kwa amani iwapo atamchafua the late and the legend JPM.
Makundi yote ndani ya CCM yajiepushe kuchafua viongozi wetu waadilifu waliopita .
Ipo siku tutahoji kifo cha Magufuli
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Anadeal na mwenye mbwa.Apambane na waliomtishia aachane na The late JPM
Hio siko mkihoji ndo mtaajua kua covid 19, haikua niporojo watu walikufa kweliKama Nape Nnauye anamaanisha Jemedari aliyetangulia mbele za haki Mhe. Dr John Pombe Magufuli kuwa Godfather wa PolePole basi anapaswa kutuomba radhi.
Iwapo anahisi the so called Godfather alimshindwa basi ajue nyuma ya Godfather lipo kundi kubwa sana la MaGrand GodFathers. Pia ni muhimu kujua kwamba Hata Godfather wake anaweza kuondoka siku moja na God grand Father akachukua hatamu. Hakuna atakayekaa kwa amani iwapo atamchafua the late and the legend JPM.
Makundi yote ndani ya CCM yajiepushe kuchafua viongozi wetu waadilifu waliopita .
Ipo siku tutahoji kifo cha Magufuli
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA