Future811
Member
- Nov 23, 2014
- 11
- 14
Ivi hizi halmashauri na serikali za mitaa lakini pia taasisi mbalimbali zikiwemo za mazingira na afya zipo wapi katika kuangalia swala hili la masoko kufanyika kwenye mitaa ya wananchi. Hii hali ishakuwa kero sana hapa buguruni. Mtaa unafurika matenga masaa 24 hamuoni kama mna hatarisha maisha ya wananchi endapo tatizo lolote litakapo tokea? Ebu hizi halmashauri zinazokusanya mapato ziangalie hili swala zisifikirie kukusanya tu mapato bali na kujali maisha ya wananchi wake.