Ivi ni mapenzi au?

Ivi ni mapenzi au?

Aishah2016

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2016
Posts
2,225
Reaction score
2,482
1480753956025.jpg
 
Hiyo wamepiga picha kwa ajili ya kupost kwenye mitandao, hakuna uhalisia.
 
Yani unabeba bao lako mwnyw halaf unamsuka na mama watoto

Kufanya kimoja kwa wakat inawezekana lkn sio vyote kwa mpigo
 
Halafu wewe utakuja usutwe mchana kweupe waache wenye mahaba yao wanaume wa mkoa fulani hivi
 
Hii picha ina tafsiri nyingi,tafsiri nnayoipenda mimi ni kuwa jamaa kaamua kumsaidia mwenzie kidogo ili mwanamke apate kupumzika. Sioni ubaya kwa hilo ukitilia maanani wanawake wengi huwa wanaumia sana na kazi za nyumbani na malezi ya watoto,hata kama wanafanyakazi.Kusaidiana ndani ya nyumba kunakuza mapenzi,heshima,kuthaminiana na ukaribu.
Lakini haitakuwa vizuri kama jamaa kazi yake ni hiyo kukaa nyumbani na kulea,mwanaume lazima kuwa mstali wa mbele kujishughulisha na kupambana na maisha.
 
Hii picha ina tafsiri nyingi,tafsiri nnayoipenda mimi ni kuwa jamaa kaamua kumsaidia mwenzie kidogo ili mwanamke apate kupumzika. Sioni ubaya kwa hilo ukitilia maanani wanawake wengi huwa wanaumia sana na kazi za nyumbani na malezi ya watoto,hata kama wanafanyakazi.Kusaidiana ndani ya nyumba kunakuza mapenzi,heshima,kuthaminiana na ukaribu.
Lakini haitakuwa vizuri kama jamaa kazi yake ni hiyo kukaa nyumbani na kulea,mwanaume lazima kuwa mstali wa mbele kujishughulisha na kupambana na maisha.
Precisely
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom