<br />Wasichana wao mshipa wa aibu ulishakatika...... Kiasi kwamaba hata kama mna Kiss(denda)... Binti anatoa mimacho tu ka balbu...yaani hata aibu ya kuzuga kwao ni zero!! msaada tafadhali... nipo kwenye utafiti.
<br />Hata unapokumbatian na mtu yeyot unapasw ufumbe macho,kwan ndio hisia na uzito w jamb huingia akilin,sio unakura denda huk unatathmn room ya jamaa how comez
<br />Kabila na hayo mashudu yaliyofuata vinahusiana vipi?!
Mhhh!!!!!<br />
<br />
Umenifanya nimemshitua mai waifu wangu kwa kicheko. Alikuwa amepitiwa na kausingizi kauchovu wa hili tumbo lake la miezi kumi kasoro... Nimembembeleza kalala tena..!!