Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
uandishi wa kitoto sana huu, ni ngumu kuelewa ulicho andika
sio lazima wewe uelewe.
uandishi wa kitoto sana huu, ni ngumu kuelewa ulicho andika
uandishi wa kitoto sana huu, ni ngumu kuelewa ulicho andika
sio lazima wewe uelewe.
mie ningependa sana kumuoshea mke chupi zake.....thats so hot!!!
its never boring in here...
Mmmh! Kongosho tafadhali ni pm!Kama ni mume wangu, namfulia kwa raha zote na nitafanya kazi zote za nyumbani, my biggest problem napenda mwanaume anayerudi nyumbani mapemaaa, saa 12 kiwa home basi mie najiona malkia
kaandika kianachuo mwenzio ati wanaita tena kifesibukuuandishi wa kitoto sana huu, ni ngumu kuelewa ulicho andika
ungenifurahia sana wewe,me saa kumi ni homeKama ni mume wangu, namfulia kwa raha zote na nitafanya kazi zote za nyumbani, my biggest problem napenda mwanaume anayerudi nyumbani mapemaaa, saa 12 kiwa home basi mie najiona malkia
ha ha ha, kwa kweli hilo kwangu ni limbwata tosha, hata mtu aniambie mumeo kakuktwa gesti na changu kashindwa kumlipa nitaenda kumlipia narudi naye home bila kuuliza chochote.ungenifurahia sana wewe,me saa kumi ni home
Nakubalia na wewe kabisaKwanini wajibu uwe wa mwingine tofauti na mvaaji???
Wajibu ni wa mvaaji....mwingine akifanya anasaidia na sio kwamba ni kazi yake!!!