I've come to set this forum on FIRE!!

I've come to set this forum on FIRE!!

makubwa tena haya!


Karibu sana bt angalia usijewashwa wewe!
 
heeh! tuliona vitisho vya kina nape nnauye,itakuwa ww! raha ya ngoma uingie ucheze,karibu muwasha moto!
 
A tiger does not proclaim its tigritude :it pounces.Bring it on man.
 
Utabase zaid kwenye jukwaa lipi?

La dini? Siasa? Mahusiano? Uchumi? Ili tujue namna ya kuuzima huo moto. Ila kama utakuwa jukwaa la siasa halafu umetumwa na Nape heri ukimbie mapema. Kamu unakuja na udini utakutana na Shimba litakumaliza
 
Ahahahaaah! Tuna fire extinguisher za kutosha......karibu sana!
 
Ngoja tukukumbushe kuwa tunazo hapa JF pia ukileta ujinga tutakuzima kwa bajaji

fire.jpg
 
A tiger does not proclaim its tigritude :it pounces.Bring it on man.
Wole Soyinka talking to Senghor who proclaimed Negritude but married a white woman...
Na huyu anaonekana hivo hivo. Kaandika post moja alafu kapotea.
 
niaje wanajamii forum,moto nitakaokuja kuuwasha hamna atakayeuzima
........... ni powa Geronimo................karibu sana katika kuuwasha moto.....................moto uwashe na usichoke kuupepea kusudi ukolee...................weka na mafuta ya taa..........................tia petrol............................ukoleeeeeee..................................ukolezeke, tahadharii nakutahadharisha.................................moto huo usije kukuchoma weye...............................................jaribu kuwa muangalifu.......................,moto wa petroli si mchezo,hauzimwi kwa maji tuuu,jitahidi kuwa na unga wa kabon daioksaidi, au la faya eksitinguisha...................kwa maana kwamba waweza ungua wewe..................................,tena ukaungua hata majivu yasipatikane???,........................karibu sana katika kuuwasha moto...moto njoo, njoo moto wa geronimo....................
 
........... ni powa Geronimo................karibu sana katika kuuwasha moto.....................moto uwashe na usichoke kuupepea kusudi ukolee...................weka na mafuta ya taa..........................tia petrol............................ukoleeeeeee..................................ukolezeke, tahadharii nakutahadharisha.................................moto huo usije kukuchoma weye...............................................jaribu kuwa muangalifu.......................,moto wa petroli si mchezo,hauzimwi kwa maji tuuu,jitahidi kuwa na unga wa kabon daioksaidi, au la faya eksitinguisha...................kwa maana kwamba waweza ungua wewe..................................,tena ukaungua hata majivu yasipatikane???,........................karibu sana katika kuuwasha moto...moto njoo, njoo moto wa geronimo....................
Mkuu hili ni shairi au?sijakupata bado!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom