Ivan Breaker
JF-Expert Member
- Jun 13, 2020
- 1,384
- 5,504
We are the sad generation with happy pictures.
Read it again
Read it again
Mods siwafahamu ndugu nisaidie kuwatag kama unawafahamu [emoji1431]Uzi wako ungepeleka kwenye Habari na Hoja Mchanganyiko. Humu ni jukwaa la Mapenzi, Mahusiano na Urafiki. Omba mods wakusaidie kuuhamisha
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Dah... Nilijua connection... Picha mjongeo zinazovuja.
We jamaa ni muungwana sana.Tuelekezane namna ambazo watu hutumia humu JF kupata connection maana wengine tupo tu hadi leo hii hatujapata connection na maisha yanazidi kuwa magumu.
Wenye pesa hatuelewei pesa zao wanazizungushia wapi maana mzunguko wa pesa umekuwa mgumu hela hazionekani [emoji26][emoji1373]
Ama kweli, we are the sad generation with happy pictures [emoji26]
Mzee kiongozi umu hutopata madini,umu ni love content, relationship nkTuelekezane namna ambazo watu hutumia humu JF kupata connection maana wengine tupo tu hadi leo hii hatujapata connection na maisha yanazidi kuwa magumu.
Wenye pesa hatuelewei pesa zao wanazizungushia wapi maana mzunguko wa pesa umekuwa mgumu hela hazionekani [emoji26][emoji1373]
Ama kweli, we are the sad generation with happy pictures [emoji26]
Amen! Na ikawe hivyo [emoji1431]We jamaa ni muungwana sana.
Mungu akupatie wepesi katika hitaji lako
Itume humu tugawane madiniIli jukwaa utapata connection za mambo ya pilau tu,kama saivi kuna connection ya romy
Amen kwa niaba yake.We jamaa ni muungwana sana.
Mungu akupatie wepesi katika hitaji lako
Moderator Moderator naomba umsaidie kuuhamisha uzi kwenda Habari n Hoja Mchanganyiko aweze kupata wachangiaji stahiki.Mods siwafahamu ndugu nisaidie kuwatag kama unawafahamu [emoji1431]
Nashukuru sanaModerator Moderator naomba umsaidie kuuhamisha uzi kwenda Habari n Hoja Mchanganyiko aweze kupata wachangiaji stahiki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Username yako [emoji1]Hatari hii