UncleBen
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 9,598
- 11,993
- Thread starter
- #21
Na ndio maana nikasema iundwe tume ya kutuleta pamoja kama Taifa,hatupo pamoja wanaocheza na katiba yetu wanaona wako sawa tu ,na pia wanao kemea katiba kutokuchezewa nao wako sawa , Bila busara za kutenganisha hili basi ni hakika tunakwenda pabaya , tume itulete pamoja tuone tumekosea wapi tusameheane ,tulijenge taifa letuUnafahamu kuwa kuna watu wanavunja katiba na sheria? Na kwamba wanafahamu lakini wanajifanya wendawazimu?
Kichaa kuna wakati anachapwa na anakuwa na adabu.