UncleBen
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 9,598
- 11,993
Ndugu zangu Watanzania kuna kila sababu ya kuundwa tume ya kutuleta Watanzania pamoja kama Taifa,
Taifa hili liliundwa kwa misingi ya Kuvumiliana ,Kupendana ,Kuheshimiana na Kushirikiana katika lile lilolo jema kwa mustakabali wetu.
Kadri siku zinavyokwenda vivyo hivyo vinavyo tuweka pamoja kama taifa vinazidi kutoweka.
Sisi wote ni Watanzania haijalishi huyu ni CCM,CHADEMA ,CUF ,WASIO NA VYAMA Nk Ama WAPARE,WAMASAI ,WAZIGUA ,WAHAYA,WACHAGA ,WASUKUMA NK
Atokee japo mmoja mwenye busara aseme neno TAIFA LIPONE
Kwa sasa hivi tunaishi kama tupo nchi tofauti vile wakati wote ni Watanzania
Tujifunze na tujisahihishe tulipo kosea ili tuweze kusonga mbele,
Sote ni ndugu ,watoto wa baba mmoja
MUNGU IBARIKI AFRIKA
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Taifa hili liliundwa kwa misingi ya Kuvumiliana ,Kupendana ,Kuheshimiana na Kushirikiana katika lile lilolo jema kwa mustakabali wetu.
Kadri siku zinavyokwenda vivyo hivyo vinavyo tuweka pamoja kama taifa vinazidi kutoweka.
Sisi wote ni Watanzania haijalishi huyu ni CCM,CHADEMA ,CUF ,WASIO NA VYAMA Nk Ama WAPARE,WAMASAI ,WAZIGUA ,WAHAYA,WACHAGA ,WASUKUMA NK
Atokee japo mmoja mwenye busara aseme neno TAIFA LIPONE
Kwa sasa hivi tunaishi kama tupo nchi tofauti vile wakati wote ni Watanzania
Tujifunze na tujisahihishe tulipo kosea ili tuweze kusonga mbele,
Sote ni ndugu ,watoto wa baba mmoja
MUNGU IBARIKI AFRIKA
MUNGU IBARIKI TANZANIA