Iundwe Tume ichunguze hadaa zilizofanyika wakati wa awamu ya 5

Yule alikuwa foool kichwani, akawageuza mawaziri foool twice.
MIM NILISHTUKA MAPEMA YULE ALIJAA HUSDA, ROHO MBAYA, MDINI....
Ajifie Tena huko aliko
Viva Samia....umeturudisha kwenye njia ya matumaini
 
Umeandika upuuzi
Mpaka uwe na akili ndiyo unaweza kutofautisha upuuzi na mambo ya maana. Huenda wewe ni miongoni mwa walioharibiwa akili ambao mnaosubiria Tanzania iipe misaada Marekani kwa sababu ni donor country. Ninyi ndio tunataka mpate kuondolewa kwenye huo ujinga uliosababishwa na hadaa za watawala.
 
Jambo msingi la kufanya ni kuwafundisha wananchi wote hasa hasa watoto, vijana na mwisho watu wazima kuhusu umuhimu wa akili/fikra huru.
Kuna vibwetere wengi kwenye dini na siasa.
Lazima watu wetu na vizazi vijavyo wawe na tahadhari na utayari wa kukabiliana vibwetere wanapotokea.
Hili litawezekana tu kama kuna fikra huru.
 
Ili wasomi wachache wakae wazungumze vya kuunda kuunda wapige kodi zetu kupitia posho
Lengo liwe ni kujenga msingi utakaoondoa kinga ya viongozi kutoshtakiwa. Viongozi waongo tuwe na uwezo wa kuwashtaki, na wakiyhibitika walidanganya kwa hila watumikie jela.
 
Tumeshandanywa mambo mengi sn
Kiwango cha kufikiri na kuchambua ukweli na uwongo ni duni sana kwa Watanzania walio wengi. Magufuli alijuwa UJINGA uliopo kwa Watanzania na akautumia kwa KUWADANGANYA
Magufuli alikuwa anajuwa kiwango cha ujinga wa Watanzania walio wengi na ndiyo ukawa mtaji wake kwa propaganda za UWONGO. Wasomi na wajuzi wa mambo akawanyamazisha kwa sheria mbaya za mtandao, takwimu na sheria ya habari. Amedanganya na ikawa ndiyo hulka yetu na mpaka alipokufa tukadanganywa kwa siku 7 kuwa yupo anachapa kazi
 
Kiwango cha kufikiri na kuchambua ukweli na uwongo ni duni sana kwa Watanzania walio wengi. Magufuli alijuwa UJINGA uliopo kwa Watanzania na akautumia kwa KUWADANGANYA
Magufuli alikuwa anajuwa kiwango cha ujinga wa Watanzania walio wengi na ndiyo ukawa mtaji wake kwa propaganda za UWONGO. Wasomi na wajuzi wa mambo akawanyamazisha kwa sheria mbaya za mtandao, takwimu na sheria ya habari. Amedanganya na ikawa ndiyo hulka yetu na mpaka alipokufa tukadanganywa kwa siku 7 kuwa yupo anachapa kazi
Mfumo mbovu wa elimu
 
Wote wenye akili timamu na uelewa wa kutosha, walifahamu kwa uwazi kabisa kuwa taarifa ile kuwa Acacia walikuwa wanadaiwa kodi ya sh. Trilioni 360, walijua kuwa ni uwongo na hadaa ya hali ya jui.

Thamani ya mauzo ya dhahabu yote toka migodi yote ya dhahabu nchini Tanzania tangu migodi hiyo ianze uzalishaji, ilikuwa haifikii shilingi trilioni 360.

Ingewezekana vipi kampuni moja idaiwe kodi ya sh. Trilioni 360? Ile ilikuwa ni dhaharau kubwa kwa umma. Hawa watu waliwaona Watanzania hawana akili, ni watu wa kumeza uwongo wa kila aina toka kwa watawala.

Kama msemo wa wenye hekima unavyonena, njia ya mwongo ni fupi. Sasa Kabudi na Mwigulu wamelazimika kukiri hadharani kuwa waliudanganya umma.

Katiba yetu inatamka wazi kuwa umma ndiyo mamlka ya juu kuliko mamlaka zote. Hawa walioudanganya umma, na wapo hai, waachwe tu kwa uovu huo walioufanya? Hili moja wamekiri wazi kuwa walidanganya, je waliudanganya umma kwa mambo mangapi?

Leo hii tuna vijana wengi, hasa ndani ya UVCCM wamejazwa ujinga na kutetea mambo mengi ya uwongo na ujinga kutokana na uwongo waliolishwa na hawa watawala. Madhara haya waliyoyapata hawa vijana wa UVCCM kiasi kwamba wengi wao wanapojadili hoja za uchumi, uwekezaji, demokrasia au utawala bora, wanaonekana kama ni watu wenye uelewa duni kabisa, watafidiwa vipi kwa haya madhara waliyoyapata? Na nani atalipia?

Angalao ili kuweza kuwaondoa ujinga kutoka katika mioyo na akili, hasa za vijana wa UVCCM ambao kiufahamu wameharibiwa kutokana na kudanganywa na watawala, kuundwe tume itakayochunguza na kitoa taarifa ya wazi juu ya mambo yote ambayo watawala waliwadanganya wananchi, ili watu wautambue ukweli kuliko kuendelea kuishi kwenye ujinga na hadaa walizolishwa kwa muda mrefu.

Pia oundwe sheria kali, ambayo itamfanya kila kiongozi mwongo kutumikia jela. Na viongozi wanaowaharibu vijana kifikra na kimaadili, wasiwe na mbadala wa adhabu, zaidi ya kifungo.

Mmoja amesikika huko Mbeya akiwahamasisha vijana wa UVCCM kufanya uovu. Viongozi kama hawa wanaowaharibu vijana mahali pao salama palitakiwa kuwa jela.
Sijui walikuwa wanamdanganya nani.

Mambo ambayo ukiyafanya hayasaidii nchi wala kuondoa matatizo ya nchi waliyafanya kumfurahisha nani
 
Mkataba ni legal binding document uwezi kujiamkia tu na kutaka kubadili terms au kusema unafuta mkataba wenyewe.

Ukikurupuka utashitakiwa

Kwa ivyo ukitaka kubadili terms mbinu moja wapo ni kutafuta breach either (condition, warrant or anticipatory) hiyo ndio angle inayokuruhusu kudai damages or repudiation kwenye mkataba.

Ndio Magufuli alichofanya alitafuta condition breach ya kukwepa kodi (be it the amount was overestimated) ilo sasa linawapa wadaiwa nafasi ya kujitetea kabla ya kwenda mahakamani kubishana.

ACCACIA walitaka ku challenge hiyo breach BARRICK wakaamua kuichukua kampuni na ku negotiate upya mkataba.

So zote zile zilikuwa ni negotiation tack tics given the small legal options window serikali iliyokuwa nayo kuwaleta mezani.

Mtu yeyote mwenye akili timamu alielewa lengo la Magufuli lilikuwa kubadili mkataba na alifanikiwa kuwaita mezani bahati mbaya quality ya negotiators wetu inatia aibu walishindwa kufikia makubaliano yenye maslahi zaidi kwa nchi ata kama tulimaliza mjadala in a more favourable position na tulipotoka.

Kinachoonyesha sasa ni watanzania kutokuwa na shukran watu wametumia nafasi zao kuwapigania maslahi yenu kwa mikataba mibovu walioingia viongozi wenu wenye tamaa miaka ya nyuma leo mnawatukana.
 

The Citizens inadai research zilizofanywa na international institutions zinaonyesha Tanzania financial experts their skills are below par.

Chukulia ili sakata trillioni sijui 360 kuandikwa kwenye CAG report sijasoma hiyo report on what angle it was an audit concern.

Likewise if you gonna do financial provision there are rules to follow IAS 37 and IAS 10, hivi unaweza weka disputed claims kwenye audit report or even record them in any income ledger book kweli.

Tafuteni diaspora wenye uwezo matatizo ya hiyo nchi yapo wazi ni mismanaged asilimia kubwa. Na chanzo ni wataalamu wasio na uwezo techinically katika vitu walivyosomea. Yaani ata ukisikiliza wachambuzi kwenye TV unabaki salaleh.
 
Yule alikuwa foool kichwani, akawageuza mawaziri foool twice.
MIM NILISHTUKA MAPEMA YULE ALIJAA HUSDA, ROHO MBAYA, MDINI....
Ajifie Tena huko aliko
Viva Samia....umeturudisha kwenye njia ya matumaini

Mqtumaini ya nyocko
 
Mkataba ni legal binding document uwezi kujiamkia tu na kutaka kubadili terms au kusema unafuta mkataba wenyewe.

Ukikurupuka utashitakiwa

Kwa ivyo ukitaka kubadili terms mbinu moja wapo ni kutafuta breach either (condition, warrant or anticipatory) hiyo ndio angle inayokuruhusu kudai damages or repudiation kwenye mkataba.

Ndio Magufuli alichofanya alitafuta condition breach ya kukwepa kodi (be it the amount was overestimated) ilo sasa linawapa wadaiwa nafasi ya kujitetea kabla ya kwenda mahakamani kubishana.

ACCACIA walitaka ku challenge hiyo breach BARRICK wakaamua kuichukua kampuni na ku negotiate upya mkataba.

So zote zile zilikuwa ni negotiation tack tics given the small legal window serikali iliyokuwa nayo kuwaleta mezani.

Mtu yeyote mwenye akili timamu alielewa lengo la Magufuli lilikuwa kubadili mkataba na alifanikiwa kuwaita mezani bahati mbaya quality ya negotiators wetu inatia aibu walishindwa kufikia makubaliano yenye maslahi zaidi kwa nchi ata kama tulimaliza mjadala in a more favourable position na tulipotoka.

Kinachoonyesha sasa ni watanzania kutokuwa na shukran watu wametumia nafasi zao kuwapigania maslahi yenu kwa mikataba mibovu walioingia viongozi wenu wenye tamaa miaka ya nyuma leo mnawatukana.
Bahati mbaya, yawezekana huna uelewa mkubwa kwenye hii mining industry business.

Tulichokipata kwa mabadiliko yale ya sheria, mikataba na harassment ni kidogo sana kuliko tulichokipoteza. Jiulize:

1) mpaka leo, tumepata kiasi gani kutokana na ile 16% free carried interest ukilinganisha na 10% tuliyokuwa nayo awali?

2) tumefaidika kwa kiasi gani kutokana na kuongezeka sana kwa bei ya dhahabu ukilinganisha na mataifa mengine yanayozalisha dhahabu, huku tukiwa tumeshuka katika uzalishaji wa dhahabu kutoka nafasi ya 3 mpaka nafasi ya 6 katika Africa?

3) tumefaidika vipi kutokana na kuondoka makampuni 160 ya kigeni yaliyokuwa yakifanya utafiti wa madini nchini?

4) tulifaidika nini kutokana na kusimama kwa uwekezaji kwenye miradi ya graphite kutokana na hofu ya kuja kuzuiwa kuuza nje concentrate?

Wajinga pekee yao ndio wanaweza kudanganywa kuwa sera zile zilikuwa na faida.
 

The Citizens inadai research zilizofanywa na international institutions zinaonyesha Tanzania financial experts their skills are below par.

Chukulia ili sakata trillioni sijui 360 kuandikwa kwenye CAG report sijasoma hiyo report on what angle it was an audit concern.

Likewise if you gonna do financial provision there are rules to follow IAS 37 and IAS 10, hivi unaweza weka disputed claims kwenye audit report or even record them in any book ledger kama income kweli.

Tafuteni diaspora wenye uwezo matatizo ya hiyo nchi yapo wazi ni mismanaged asilimia kubwa. Na chanzo ni wataalamu wasio na uwezo techinically katika vitu walivyosomea. Yaani ata ukisikiliza wachambuzi kwenye TV unabaki salaleh.
Tatizo Serikali imejaza watu wenye ujuzi mdogo sana katika mambo mengi. Ukichanganya na unafiki, inakuwa ni hasara tupu. Kama nchi hii ingebahatika kuwa na watu sahihi katika vyombo vyote vya Serikali, hakika ingepaa.
 
Bahati mbaya, yawezekana huna uelewa mkubwa kwenye hii mining industry business.

Tulichokipata kwa mabadiliko yale ya sheria, mikataba na harassment ni kidogo sana kuliko tulichokipoteza. Jiulize:

1) mpaka leo, tumepata kiasi gani kutokana na ile 16% free carried interest ukilinganisha na 10% tuliyokuwa nayo awali?

2) tumefaidika kwa kiasi gani kutokana na kuongezeka sana kwa bei ya dhahabu ukilinganisha na mataifa mengine yanayozalisha dhahabu, huku tukiwa tumeshuka katika uzalishaji wa dhahabu kutoka nafasi ya 3 mpaka nafasi ya 6 katika Africa?

3) tumefaidika vipi kutokana na kuondoka makampuni 160 ya kigeni yaliyokuwa yakifanya utafiti wa madini nchini?

4) tulifaidika nini kutokana na kusimama kwa uwekezaji kwenye miradi ya graphite kutokana na hofu ya kuja kuzuiwa kuuza nje concentrate?

Wajinga pekee yao ndio wanaweza kudanganywa kuwa sera zile zilikuwa na faida.
Ukitunga sheria mpya kama sehemu ya new contract terms ili kuwekwa ndani ya mikataba elewa aiwaathiri wawekezaji waliopo tayari.

Hao watu washapambana na host nations kuhusu mikataba kwa miaka zaidi ya 70 kwenye harakati zao za kupora so wana mitigation ya mabadiliko ya sheria na administration changes ambazo zinaweza athiri maslahi yao.

Kwa ivyo kwenye mikataba ya natural resources hakuna mwekezaji kutoka nje ambae hatakuwekea ‘stabilisation clause’ icho ni kipengele kinacholinda terms za mkataba dhidi ya sheria au mabadiliko ya sera za serikali za mbeleni.

Sasa kama uwezi badili terms za hiyo mikataba kwa sheria ni kutafuta breach of contracts katika makubaliano ambayo tayari yapo ndio zikaja hizo hadithi za madeni ya kodi za nyuma.

Magufuli alifanikiwa hapo kuwaita mezani kwenye kujadili but he was not a financier, unajuwa watu wengi awaelewi asilimia kubwa ya negotiations kwenye hiyo mikataba ni geological data, early investment, source of capital, market price (on a given time) which determines the level of return in investment and share of profits. So basically it’s finance; lawyers wana draft mkataba tu.

Kabudi sio financier, had little knowledge on the mineral industry (wakati anateuliwa) and he is not a contract lawyer; halafu ndio chief negotiator. Do you expect to get a fair deal in those negotiations so ni huruma ya Barrick mwisho wa siku wakaamu kuwe na 50% share of economic benefits ambazo zinahusisha shares, taxes and whatever. That was a bad deal (long story kuelezea why so) nonetheless better than what there before.

Utaki kujua huko kwenye gas tunajichimbia kaburi gani January kama spearhead wa hayo majadiliano attitude yake tu tayari unaona ni Chief Mangunge.
 
Tatizo Serikali imejaza watu wenye ujuzi mdogo sana katika mambo mengi. Ukichanganya na unafiki, inakuwa ni hasara tupu. Kama nchi hii ingebahatika kuwa na watu sahihi katika vyombo vyote vya Serikali, hakika ingepaa.
I can’t argue with that halafu tatizo zaidi wenyewe awaoni makosa yao.

Mie bado natakiwa kujiongeza kwenye finance ili nipate proffesional qualification ila naweza kuona taratibu fulani sio sahihi.

Majuzi tu kuna post moja niliandika hakuna mtu timamu wa kimataifa anaweza fuatilia DSE kwa sababu most of listed businesses their finance are not public nor having evidence of external audited from trusted firms.

Hiyo article ya citizens ya jana inaongelea kitu icho icho on different angle interms of Mergers and Acquisition makampuni ya nje kuwekeza Tanzania ni shida sababu walizotoa hesabu za biashara nyingi Tanzania haziaminiki nor assets valuation.

Sasa kama mie ambae ndio kwanza natafuta proffesional qualification naweza ona mapungufu, serikali aioni. The logical conclusion watu hawana sifa sahihi huko juu kujua madhara ya usimamizi hafifu wa sector mbali mbali.
 
Kuna mambo mengi sana wananchi wanaona yanahitajika kufanyika.

Ila naona wenzetu mmeamua kuturudisha nyuma kila siku kwakua hamuoni au hamtaki kutimiza wajibu wenu.
 
Wote wenye akili timamu na uelewa wa kutosha, walifahamu kwa uwazi kabisa kuwa taarifa ile kuwa Acacia walikuwa wanadaiwa kodi ya sh. Trilioni 360, walijua kuwa ni uwongo na hadaa ya hali ya jui.

Thamani ya mauzo ya dhahabu yote toka migodi yote ya dhahabu nchini Tanzania tangu migodi hiyo ianze uzalishaji, ilikuwa haifikii shilingi trilioni 360.

Ingewezekana vipi kampuni moja idaiwe kodi ya sh. Trilioni 360? Ile ilikuwa ni dhaharau kubwa kwa umma. Hawa watu waliwaona Watanzania hawana akili, ni watu wa kumeza uwongo wa kila aina toka kwa watawala.

Kama msemo wa wenye hekima unavyonena, njia ya mwongo ni fupi. Sasa Kabudi na Mwigulu wamelazimika kukiri hadharani kuwa waliudanganya umma.

Katiba yetu inatamka wazi kuwa umma ndiyo mamlka ya juu kuliko mamlaka zote. Hawa walioudanganya umma, na wapo hai, waachwe tu kwa uovu huo walioufanya? Hili moja wamekiri wazi kuwa walidanganya, je waliudanganya umma kwa mambo mangapi?

Leo hii tuna vijana wengi, hasa ndani ya UVCCM wamejazwa ujinga na kutetea mambo mengi ya uwongo na ujinga kutokana na uwongo waliolishwa na hawa watawala. Madhara haya waliyoyapata hawa vijana wa UVCCM kiasi kwamba wengi wao wanapojadili hoja za uchumi, uwekezaji, demokrasia au utawala bora, wanaonekana kama ni watu wenye uelewa duni kabisa, watafidiwa vipi kwa haya madhara waliyoyapata? Na nani atalipia?

Angalao ili kuweza kuwaondoa ujinga kutoka katika mioyo na akili, hasa za vijana wa UVCCM ambao kiufahamu wameharibiwa kutokana na kudanganywa na watawala, kuundwe tume itakayochunguza na kitoa taarifa ya wazi juu ya mambo yote ambayo watawala waliwadanganya wananchi, ili watu wautambue ukweli kuliko kuendelea kuishi kwenye ujinga na hadaa walizolishwa kwa muda mrefu.

Pia oundwe sheria kali, ambayo itamfanya kila kiongozi mwongo kutumikia jela. Na viongozi wanaowaharibu vijana kifikra na kimaadili, wasiwe na mbadala wa adhabu, zaidi ya kifungo.

Mmoja amesikika huko Mbeya akiwahamasisha vijana wa UVCCM kufanya uovu. Viongozi kama hawa wanaowaharibu vijana mahali pao salama palitakiwa kuwa jela.

wewe anza na uchunguzi ukikamilisha mpelekee bibi yako kijijini afanye nazo kazi.
 
Back
Top Bottom