Iundwe kamati maalumu ya bunge - yanayoendelea misikitini na makanisani

Nemesis

JF-Expert Member
Feb 13, 2008
5,462
4,364
Hakuna anayejua kwa undani yanayoendelea katika misikiti na makanisa yanayotishia amani na utulivu wa nchi. Ni dhahiri vyombo vya dola vimeshindwa na haviwezi tena kurudisha hali kutokana na kampeni zinazoendelea.

Nimefuatilia matamko mbalimbali ya Waislam (BAKWATA), UAMSHO na wanaharakati wa dini hiyo toka uchaguzi wa 2010. Pia Tumeyaona yaliyofanyika Zanzibar, Mtwara, Mbagala (Temeke) na Kigoma pia. Pia mihadhara inaendelea maeneo mengi ya nchi hasa katika juma hili. Ukisikia yanayoongelewa yanatisha.

Kwa upande mwingine, kuna msululu wa jumbe za simu (sms) zinazunguka miongoni mwa Wakristo kila siku zikihamasisha maombi na zingine zinapindukia hata kutaka vita (mapambano ya mwili) dhidi ya Waislam. Kwa ujumla hali ni mbaya na inazidi kuwa mbaya kila siku.

Haya ndiyo yanayosikika, bila shaka yapo mengi na pengine kunamipango ya hatari sana inayoendelea katika misikitio na makanisa au waumini wa dini hizo mbili ambayo yanahitaji kuwa wazi na kuwekewa mikakati ya kuinusuru nchi.

Miaka ya 2000 nchi ya Rwada ilijenga shaka juu ya yanayoendelea mashule. Bunge la nchi hiyo liliunda kamati ya bunge na kufanya uchunguzi. Yaliyobainika yalikuwa makubwa na kulikuwa na uwezekano wa kurudi kwenye vita vya kikabila baada ya muda fulani (wanafunzi watakapokuwa wakubwa). Kamati hiyo ilitoa mapendekezo ambayo yalilazimisha kufanyika kwa mageuzi makubwa katika sekta ya elimu na kutokomeza kabisa elimu ya chuki na ubaguzi wa kihutu na kitusi.

Ni rai yangu, kuundwa kamati ya bunge, yamkini tutaondoa chuki, udini na hasira za kidini zinazopandikizwa kwa kasi ya ajabu.
 
Sidhani kama hili watalisikiliza, kwani kwasasa nchi yetu inaongozwa na matukio. Watasubiri mpaka yatakapotokea madhara ndiyo wataunda kamati ambayo majibu yake yatakuwa ya kuwafurahisha wao na si ya kutoa ufafanuzi na utatuzi wa kiini cha tatizo. Tunashangaa jinsi Chama na serikali kilivyobadili majukumu ya usalama wa Taifa. Hii kazi unayopendekeza ingekuwa ilishashughulikiwa zamani sana na usalama wa Taifa na pengine kulidhibiti kabisa. Ila sasa usalama wa Taifa wetu wanafanya kazi za ajabu za kufukuzana na kina Slaa, CDM, Ulimboka nk.
 
Kamati na fungu lote la nini? Matunda ya magamba hayo kuendekeza udini kutawala..DHAIFU kacheza rafu sana kudeclare kuwa kuna udini.VIBARAKASHIA WANAONA WANAONEA KUMBE LAA.
 
Wa Tanzania tunapenda mambo ya tume saana hata pale ushahidi unapokuwa wazi.
Kuundwa kwa tume ya watu kama kumi maanake hela zetu ziliwe na hiyo tume. Wakichukua muda wa miezi mitatu kuzunguka mikoani eti kufanya utafiti katika maeneo yote yaliokumbwa na matatizo haya, halafu miezi mingine miwili kutayarisha taarifa yao ni takriban miezi mitano. Utakapokuja kushusha mahesabu ili upate jumla ya pesa zilizotumika na hii tume, usishangae kukuta Bilioni moja imekwisha!
Tume ya nini na inafahamika wazi kwamba hawa akina Sheikh Ponda ni waislamu wachache sana waliotumwa kuwafanyia vurugu ndugu zetu wakristu. Matendo yao ni ya aibu kwetu sisi waislamu tunaoijua dini.

KAMANDA MMOJA TU mzalendo, akiwa na kikosi cha askari mia mbili, anaweza kulimaliza hili tatizo ndani ya mwezi mmoja likawa historia!

Ni uamuzi tu!
 
Hakuna anayejua kwa undani yanayoendelea katika misikiti na makanisa yanayotishia amani na utulivu wa nchi. Ni dhahiri vyombo vya dola vimeshindwa na haviwezi tena kurudisha hali kutokana na kampeni zinazoendelea.

Nimefuatilia matamko mbalimbali ya Waislam (BAKWATA), UAMSHO na wanaharakati wa dini hiyo toka uchaguzi wa 2010. Pia Tumeyaona yaliyofanyika Zanzibar, Mtwara, Mbagala (Temeke) na Kigoma pia. Pia mihadhara inaendelea maeneo mengi ya nchi hasa katika juma hili. Ukisikia yanayoongelewa yanatisha.

Kwa upande mwingine, kuna msululu wa jumbe za simu (sms) zinazunguka miongoni mwa Wakristo kila siku zikihamasisha maombi na zingine zinapindukia hata kutaka vita (mapambano ya mwili) dhidi ya Waislam. Kwa ujumla hali ni mbaya na inazidi kuwa mbaya kila siku.

Haya ndiyo yanayosikika, bila shaka yapo mengi na pengine kunamipango ya hatari sana inayoendelea katika misikitio na makanisa au waumini wa dini hizo mbili ambayo yanahitaji kuwa wazi na kuwekewa mikakati ya kuinusuru nchi.

Miaka ya 2000 nchi ya Rwada ilijenga shaka juu ya yanayoendelea mashule. Bunge la nchi hiyo liliunda kamati ya bunge na kufanya uchunguzi. Yaliyobainika yalikuwa makubwa na kulikuwa na uwezekano wa kurudi kwenye vita vya kikabila baada ya muda fulani (wanafunzi watakapokuwa wakubwa). Kamati hiyo ilitoa mapendekezo ambayo yalilazimisha kufanyika kwa mageuzi makubwa katika sekta ya elimu na kutokomeza kabisa elimu ya chuki na ubaguzi wa kihutu na kitusi.

Ni rai yangu, kuundwa kamati ya bunge, yamkini tutaondoa chuki, udini na hasira za kidini zinazopandikizwa kwa kasi ya ajabu.

Tatizo la waislam ni kuamini katika fujo. Kuweka matatizo yao kuwa yanaletwa na wenzao. Hata hizo kamati zinaweza zisiwe na maana kwa mtazamo wa hawa ndugu zetu. Nani ana chuki na mwenzake? Sijui, lakini jaribu anyway!
 
Hakuna anayejua kwa undani yanayoendelea katika misikiti na makanisa yanayotishia amani na utulivu wa nchi. Ni dhahiri vyombo vya dola vimeshindwa na haviwezi tena kurudisha hali kutokana na kampeni zinazoendelea.

Nimefuatilia matamko mbalimbali ya Waislam (BAKWATA), UAMSHO na wanaharakati wa dini hiyo toka uchaguzi wa 2010. Pia Tumeyaona yaliyofanyika Zanzibar, Mtwara, Mbagala (Temeke) na Kigoma pia. Pia mihadhara inaendelea maeneo mengi ya nchi hasa katika juma hili. Ukisikia yanayoongelewa yanatisha.

Kwa upande mwingine, kuna msululu wa jumbe za simu (sms) zinazunguka miongoni mwa Wakristo kila siku zikihamasisha maombi na zingine zinapindukia hata kutaka vita (mapambano ya mwili) dhidi ya Waislam. Kwa ujumla hali ni mbaya na inazidi kuwa mbaya kila siku.

Haya ndiyo yanayosikika, bila shaka yapo mengi na pengine kunamipango ya hatari sana inayoendelea katika misikitio na makanisa au waumini wa dini hizo mbili ambayo yanahitaji kuwa wazi na kuwekewa mikakati ya kuinusuru nchi.

Miaka ya 2000 nchi ya Rwada ilijenga shaka juu ya yanayoendelea mashule. Bunge la nchi hiyo liliunda kamati ya bunge na kufanya uchunguzi. Yaliyobainika yalikuwa makubwa na kulikuwa na uwezekano wa kurudi kwenye vita vya kikabila baada ya muda fulani (wanafunzi watakapokuwa wakubwa). Kamati hiyo ilitoa mapendekezo ambayo yalilazimisha kufanyika kwa mageuzi makubwa katika sekta ya elimu na kutokomeza kabisa elimu ya chuki na ubaguzi wa kihutu na kitusi.

Ni rai yangu, kuundwa kamati ya bunge, yamkini tutaondoa chuki, udini na hasira za kidini zinazopandikizwa kwa kasi ya ajabu.

Bunge limepoteza sifa bwana, upuuzi mtupu huo. Wameshindwa kujichunguza weneywe kwenye kashfa ya TANESCO huko watafanya nini?

Nani kasema Serikali imeshindwa kudhibiti hali hiyo? Serikali ina mkono mrefu wewe usione wamenyamaza kimya ukafikiri hawawezi.
 
To be honest, hatuhitaji kamati yoyote, itakuwa ni kuendelea kutumia resources za mwananchi wa kawaida unnecessarily. Huwa sioni tija katika kamati hizi.
 
Tatizo la waislam ni kuamini katika fujo. Kuweka matatizo yao kuwa yanaletwa na wenzao. Hata hizo kamati zinaweza zisiwe na maana kwa mtazamo wa hawa ndugu zetu. Nani ana chuki na mwenzake? Sijui, lakini jaribu anyway!

Nimeonja japo kiasi juu ya ninayoyaita "yanayoendelea misikitini na makanisani" ambayo yanahitaji uchunguzi wa kina. Kuna meseji nyingi zinazunguka kwa waumini wa dini hizi mbili.
 
Kamati na fungu lote la nini? Matunda ya magamba hayo kuendekeza udini kutawala..DHAIFU kacheza rafu sana kudeclare kuwa kuna udini.VIBARAKASHIA WANAONA WANAONEA KUMBE LAA.

Hata hivyo, binafsi naona suala hili limevuka upeo wa kisiasa ndiyo maana napendekeza kuchukuliwa hatua za busara zaidi.
 
Wa Tanzania tunapenda mambo ya tume saana hata pale ushahidi unapokuwa wazi.
Kuundwa kwa tume ya watu kama kumi maanake hela zetu ziliwe na hiyo tume. Wakichukua muda wa miezi mitatu kuzunguka mikoani eti kufanya utafiti katika maeneo yote yaliokumbwa na matatizo haya, halafu miezi mingine miwili kutayarisha taarifa yao ni takriban miezi mitano. Utakapokuja kushusha mahesabu ili upate jumla ya pesa zilizotumika na hii tume, usishangae kukuta Bilioni moja imekwisha!
Tume ya nini na inafahamika wazi kwamba hawa akina Sheikh Ponda ni waislamu wachache sana waliotumwa kuwafanyia vurugu ndugu zetu wakristu. Matendo yao ni ya aibu kwetu sisi waislamu tunaoijua dini.

KAMANDA MMOJA TU mzalendo, akiwa na kikosi cha askari mia mbili, anaweza kulimaliza hili tatizo ndani ya mwezi mmoja likawa historia!

Ni uamuzi tu!

Gharama tutakayoikwepa ni ndogo mno ukilinganisha na hatari zinazoweza kutokea. Pia nadhani hali ilipofikia hata huyo kamanda mmoja hataweza kufanya lolote.

Ukitaka kujua zaidi ktk mtihani wa form four unaoendelea yamefanyika na kusemwa mengi kuhakikisha watoto wa dini fulani aidha wanafeli au wanashindwa kufanya mitihani.

sms zinazozunguka miongoni mwa wakristo kwasasa zinahamasisha mapambano ya kimwili na waislam.
 
Bunge limepoteza sifa bwana, upuuzi mtupu huo. Wameshindwa kujichunguza weneywe kwenye kashfa ya TANESCO huko watafanya nini?

Nani kasema Serikali imeshindwa kudhibiti hali hiyo? Serikali ina mkono mrefu wewe usione wamenyamaza kimya ukafikiri hawawezi.

Hujaijua vizuri Serikali iliyopo.
 
Hakuna haki katika nchi na ingekuwa haki inatendeka basi kila mtu asingemnyooshea kidole mwenzake.Hizi chokochoko zinaletwa na wachache halafu waandishi na wao wanachochea kivyao na huku kwenye mitandao kwa sisi watoa mada na maoni tunachangia kwa upande wetu.

Kama kweli tunapenda amani na utulivu ili tuendelee na maisha yetu kuitafuta riziki,basi tungetulizana badala ya kutoa kashfa na maneno mengine ya uongo na kweli.Uvumilivu ni kitu bora zaidi ya machafuko.Tujiheshimu na kuheshimu wengine na tujadiliane bila ya jazba ili tujuane kila upande wa mwenzake unadai nini au kwanini matukio mabaya yanatokea na kwanini yanapotokea baina ya watu wa chache yakazua balaa na kuchafua nchi nzima?

Serikali inapaswa kujadiliana na waisilamu pamoja na wakristo na kujua pande hizi mbili ni nini hasa kinachoendelea.Ama kama kuna madai yoyote yanahitajika kwa pande hizi zote basi kwa kutumia katiba ya nchi wasikilizwe ili kuondoa huo mgogoro.Nauhakika kinachohitajika ni maelewano tu hakuna kingine.Na iwepo sheria kali za kuwadhibiti wale wenye kuleta mijadala ya kidini na kusababisha machafuko.

Wazazi kwa upande wetu nadhani tunahitaji kuwapa masomo mazuri watoto wetu ili waweke heshima zao na heshima kwa wengine.Hawa watoto tukiwafundisha chuki basi tunalitengeneza taifa la kesho likiwa katika chuki na kama tutawafundisha watoto wetu upendo na kuwajali wengine basi tutalitengeneza taifa likiwa na amani kutoka kwa watoto wetu ili na wao waendeleze amani pamoja na taifa lao linalokuja wakati huo sisi tutakuwa wote tumekufa ila wao ndio jukumu tumewaachia.

Jamii Forum na wao wachukue tahadhari ya kuruhusu kila mtu kutoa mada anayohisi inamfurahisha lakini inajenga chuki.Freedom of speech wakati mwingine inaweza kuhatarisha amani katika nchi yetu.
 
Kamati Sio Lazima; Ni Kiongozi wa NCHI ndiye anayetakiwa kuwa na HEKIMA za kusuluhisha JAMBO HILO MIAKO 50 ya UHURU hatukuwa na UCHOMAJI wa NYUMBA za DINI;
RAIS, ANATAKIWA awe IMARA KIDOGO...
 
Kamati na fungu lote la nini? Matunda ya magamba hayo kuendekeza udini kutawala..DHAIFU kacheza rafu sana kudeclare kuwa kuna udini.VIBARAKASHIA WANAONA WANAONEA KUMBE LAA.

Acha kumlaumu jk alie asisi udini nchi ni Nyerere

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2
 
Wakristo wana imani MUNGU anaye angamiza mwili na roho katika jehanamu waislamu wana imani ya uchomaji wa makanisa kamati itashindwa la kufanya, JK alishapanda mbegu imeota sasa analaghai wakristo
 
Hakuna anayejua kwa undani yanayoendelea katika misikiti na makanisa yanayotishia amani na utulivu wa nchi. Ni dhahiri vyombo vya dola vimeshindwa na haviwezi tena kurudisha hali kutokana na kampeni zinazoendelea.

Nimefuatilia matamko mbalimbali ya Waislam (BAKWATA), UAMSHO na wanaharakati wa dini hiyo toka uchaguzi wa 2010. Pia Tumeyaona yaliyofanyika Zanzibar, Mtwara, Mbagala (Temeke) na Kigoma pia. Pia mihadhara inaendelea maeneo mengi ya nchi hasa katika juma hili. Ukisikia yanayoongelewa yanatisha.

Kwa upande mwingine, kuna msululu wa jumbe za simu (sms) zinazunguka miongoni mwa Wakristo kila siku zikihamasisha maombi na zingine zinapindukia hata kutaka vita (mapambano ya mwili) dhidi ya Waislam. Kwa ujumla hali ni mbaya na inazidi kuwa mbaya kila siku.

Haya ndiyo yanayosikika, bila shaka yapo mengi na pengine kunamipango ya hatari sana inayoendelea katika misikitio na makanisa au waumini wa dini hizo mbili ambayo yanahitaji kuwa wazi na kuwekewa mikakati ya kuinusuru nchi.

Miaka ya 2000 nchi ya Rwada ilijenga shaka juu ya yanayoendelea mashule. Bunge la nchi hiyo liliunda kamati ya bunge na kufanya uchunguzi. Yaliyobainika yalikuwa makubwa na kulikuwa na uwezekano wa kurudi kwenye vita vya kikabila baada ya muda fulani (wanafunzi watakapokuwa wakubwa). Kamati hiyo ilitoa mapendekezo ambayo yalilazimisha kufanyika kwa mageuzi makubwa katika sekta ya elimu na kutokomeza kabisa elimu ya chuki na ubaguzi wa kihutu na kitusi.

Ni rai yangu, kuundwa kamati ya bunge, yamkini tutaondoa chuki, udini na hasira za kidini zinazopandikizwa kwa kasi ya ajabu.

Kamati ya kazi gani mura?,wacha tu muda ukifika kila mmoja atakamata pange tughechane tu basi yaishe kwanza maisha magumu halafu bado kamati ambayo inakula pesa nyingi,ahaaaaa!

Nchi haina dini.........hiyo kamati itakuwa na wajumbe wa imani gani?

Swali zuri sana mjeshi limelenga penyewe.

Gharama tutakayoikwepa ni ndogo mno ukilinganisha na hatari zinazoweza kutokea. Pia nadhani hali ilipofikia hata huyo kamanda mmoja hataweza kufanya lolote.

Ukitaka kujua zaidi ktk mtihani wa form four unaoendelea yamefanyika na kusemwa mengi kuhakikisha watoto wa dini fulani aidha wanafeli au wanashindwa kufanya mitihani.

sms zinazozunguka miongoni mwa wakristo kwasasa zinahamasisha mapambano ya kimwili na waislam.

Mi niataka nishauri yanini kuandikia mate wakati wino upo unakuja,tusubiri muda ukifika basi kitaeleweka kama imepangwa hata ukiunga kamati yenye mjumbe kutoka kila dhehebu na kutoka katika kila ubalozi,bado yatatimia tu wacha kuzuia jambo hili.

Hakuna haki katika nchi na ingekuwa haki inatendeka basi kila mtu asingemnyooshea kidole mwenzake.Hizi chokochoko zinaletwa na wachache halafu waandishi na wao wanachochea kivyao na huku kwenye mitandao kwa sisi watoa mada na maoni tunachangia kwa upande wetu.

Kama kweli tunapenda amani na utulivu ili tuendelee na maisha yetu kuitafuta riziki,basi tungetulizana badala ya kutoa kashfa na maneno mengine ya uongo na kweli.Uvumilivu ni kitu bora zaidi ya machafuko.Tujiheshimu na kuheshimu wengine na tujadiliane bila ya jazba ili tujuane kila upande wa mwenzake unadai nini au kwanini matukio mabaya yanatokea na kwanini yanapotokea baina ya watu wa chache yakazua balaa na kuchafua nchi nzima?

Serikali inapaswa kujadiliana na waisilamu pamoja na wakristo na kujua pande hizi mbili ni nini hasa kinachoendelea.Ama kama kuna madai yoyote yanahitajika kwa pande hizi zote basi kwa kutumia katiba ya nchi wasikilizwe ili kuondoa huo mgogoro.Nauhakika kinachohitajika ni maelewano tu hakuna kingine.Na iwepo sheria kali za kuwadhibiti wale wenye kuleta mijadala ya kidini na kusababisha machafuko.

Wazazi kwa upande wetu nadhani tunahitaji kuwapa masomo mazuri watoto wetu ili waweke heshima zao na heshima kwa wengine.Hawa watoto tukiwafundisha chuki basi tunalitengeneza taifa la kesho likiwa katika chuki na kama tutawafundisha watoto wetu upendo na kuwajali wengine basi tutalitengeneza taifa likiwa na amani kutoka kwa watoto wetu ili na wao waendeleze amani pamoja na taifa lao linalokuja wakati huo sisi tutakuwa wote tumekufa ila wao ndio jukumu tumewaachia.

Jamii Forum na wao wachukue tahadhari ya kuruhusu kila mtu kutoa mada anayohisi inamfurahisha lakini inajenga chuki.Freedom of speech wakati mwingine inaweza kuhatarisha amani katika nchi yetu.

Ushaui mzuri kaka kila mmoja aplay party yake.

Kamati Sio Lazima; Ni Kiongozi wa NCHI ndiye anayetakiwa kuwa na HEKIMA za kusuluhisha JAMBO HILO MIAKO 50 ya UHURU hatukuwa na UCHOMAJI wa NYUMBA za DINI;
RAIS, ANATAKIWA awe IMARA KIDOGO...

Ni kweli amiri jeshi wangu lakini kumbuka kama imepangwa itakua tu,hata liJK likitumia busara ya namna gani kitaeleweka tu,hapa cha msingi kila mmoja aanze kuandaa makao yake mahali apajuapo,na kama pesa hakuna msuri mfukoni ni hatari tupu.
 
Kama kamati itaongozwa na wakinga "Ngwilizi" itakuwa haina maana. Mwache JK aendelee kuzubaa tu atakuta nchi inaongozwa na Kardinali Pengo
 
Back
Top Bottom