ITV 'Yahaha' baada ya viewers kupungua...

Mi nadhani kati ya EATV na Clouds FM mojawapo itakuwa inaongoza, kwa maana kuna vipindi vingi vya kuangalia vya burudani tofauti na ITV ambayo inategemea taarifa ya habari tu kidogo na kipindi cha Mizengwe, vipindi vingine ni wachache huviangalia hasa wazee
 
Marehemu Rehema Mwakangale katangaza zaidi ya miaka 5 bila mkataba, IPP ni majizi
 
Ni king"amuzi gani ITV haipatikani? hivi kweli unaifananisha ITV na Clouds Tv? unajua utofauti wa Kuwa super brand na kupata views wengi? Clouds amepata views robo ya nne ya mwisho wa mwaka 2016 na hiyo haiwafanyi kuwa super brand.
Hivi kweli kwa akili yako ITV inaweza kukosa matangazo?
 
katk TV station mbovu kabisa Tanzania ni TBC 2 clouds Tv na Chanel 10, hawana guiding programs, muonekano mbaya, sauti ndio ovyo kabisa.

Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
 
kweli we ni screpa

Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
 
ITV kipindi kinachoangaliwa ni taarifa ya habari tu labda kidogo na dakika 45 zaidi ya hapo ni uozo mtupu
 
hizi tv za tanzania michosho yaani hakuna hata tv moja ambayo imeweza kuonyesha mashindano ya afrika halafu mnazungumzia kuvutia watazamaji
 
aiseehh!hivi mtu makini ataangalia clouds kweli

hii nchi wajinga wengi utakuta jitu zima linaangalia shilawadu daahhh!!

halafu mnataka Tanzania ya viwanda...
Mmmmhhhh jaman kuna muda wa viwanda na muda wa kuanhalia mambo yanayoifuraisha akil.
 
Kuna wakati Itv walikuwa wakisoma magazeti hata jina la gazeti hawalisema wala kulionesha
 
Kwa watu wenye akili zao bado vituo kama itv na tbc1 ni suala mtambuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…