CCM_ CHAMA CHA MAJANGILI magufuli rudisha bilioni 5CDM = Chama cha Dili ya Mbowe
#wizi wa billion 8 kwenye fixed account ya wabunge
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata corona mna sema imekwisha wakati watu wana kufa. Na mna sisitiza tuvae barakoa. Kama ime isha barakoa za nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeskia mkuu kasema hivyo.?Hata corona mna sema imekwisha wakati watu wana kufa. Na mna sisitiza tuvae barakoa. Kama ime isha barakoa za nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini usitumie nguvu ktk hoja ili swala la utalii lizidi kusonga mbele? Kuliko kupakazia watu kuwa ni wezi huku hata kahakamani hujawapeleka!!!?CDM = Chama cha Dili ya Mbowe
#wizi wa billion 8 kwenye fixed account ya wabunge
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata corona mna sema imekwisha wakati watu wana kufa. Na mna sisitiza tuvae barakoa. Kama ime isha barakoa za nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mzee angalie naona naye anaongea bila kuvaa barakoa. Corona kwa umri wake huo kama kumenya nanasi kwa panga la kuchinjia ng'ombe.Katika sekta ya utalii nchini ambayo Rais Magufuli amesema itarejesha huduma zote wiki ijayo, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe amebainisha kuwa tayari baadhi ya watalii wameshaanza kuingia nchini.
#TourismTanzania Azam TV on TwitterView attachment 1456022
Kama corona imepungua kwa kasi haraka hivi basi kuna mbinu za ziada zimetumika, Brazil ni ukanda wa tropic na hali ya hewa haina tofauti kubwa na baadhi ya mikoa yetu lakini sasa wanakiona cha moto.Mkuu hawajasema hilo tu, wanasema tujikinge na kufauata ushauri wa madaktari. Hata dawa yetu ya kujifukiza haikutajwa na mkuu tena.
Zaidi ya hapo bado wanasisitiza misaada ya corona ipitie wizara na uchunguzi ufanyike. Ingekuwa imekwisha wasingehitaji haya.
Lakini baya zaidi ni pale waliposema tutaanza kutengeneza barakoa zetu wenyewe. Yeyote mwenye ufahamu wa kutosha anatambua kupitia hili kuwa corona iko.
Ninachokubaliana nao ni kuwa kwenye tropical areas corona haina nguvu sana za kuua. Mazingira yetu ni mabaya kwa kirusi. Hii ndio bahati tuliyonayo na tuna bahati kuwa sehemu hii ya dunia!!
DuuuuKatika sekta ya utalii nchini ambayo Rais Magufuli amesema itarejesha huduma zote wiki ijayo, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe amebainisha kuwa tayari baadhi ya watalii wameshaanza kuingia nchini.
#TourismTanzania Azam TV on TwitterView attachment 1456022
Hujamsikia mbunge wa Iringa mjini (Msigwa) akipiga makoti na kuomba msamaha mkubwa kwa Kinana kuwa alisema uongo dhidi yake!! Au viloba havijakutoka kichwaniCCM_ CHAMA CHA MAJANGILI magufuli rudisha bilioni 5
Hujamsikia mbunge wa Iringa mjini (Msigwa) akipiga makoti na kuomba msamaha mkubwa kwa Kinana kuwa alisema uongo dhidi yake!! Au viloba havijakutoka kichwani
Sent using Jamii Forums mobile app
Wako wapi? Huyu mzee ndiyo maana aliitwa mjinga hadharani. Bonge la msukule yaniKatika sekta ya utalii nchini ambayo Rais Magufuli amesema itarejesha huduma zote wiki ijayo, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe amebainisha kuwa tayari baadhi ya watalii wameshaanza kuingia nchini.
#TourismTanzania Azam TV on TwitterView attachment 1456022
Hata corona mna sema imekwisha wakati watu wana kufa. Na mna sisitiza tuvae barakoa. Kama ime isha barakoa za nini?
Sent using Jamii Forums mobile app