Itv wame edit picha -kigoma

kama maneno yako niya kinafiki niwazi we ni mnafiki
 
ITV na Nipashe siku hizi wamekuwa wafuasi wa mmachame mwenzao sio wa kuangalia kabisa hasa katika suala hili la Zitto,.
Watanzania mmelogwa na nani?
Ukabila na udini ni ushamba tu kama mtu mzima hujalogwa.
 
Hizi bk 7 zitapita na wajinga wote. Werevu tu ndio watayaona mabadiliko.
 
ITV na Nipashe siku hizi wamekuwa wafuasi wa mmachame mwenzao sio wa kuangalia kabisa hasa katika suala hili la Zitto,.

Ndiyo maana kuna TV station nyingine unabadilisha channel tu haina tofauti na mfumo wa vyama vingi sijui kwanini hamumshauri Zitto ahamie chama kingine
 
Last edited by a moderator:

Weka picha HALISI hapa,
 

.......Ubishi wa kitoto na wa kishamba kabisa huu,tatizo lenu magamba mna force ukweli uwe uongo,nyekundu kuwa njano imekula kwenu 2015 itabaki kuwa historia tu...
 
Hizo hizo walizo edit ITV ndo tumezipenda,lete utumbo mwingine.
 
Ndugu mimi ni mfuasia wa maendeleo katika nchi yetu na tena na msimamo mkali katika chama chetu cha chadema...
... Kwanza CHADEMA haina wanachama wenye msimamo mkali! Au ulimaanisha mwanachama wa nanihii?
 
Toa ushahidi...na kama huna kaa kimya....

Picha za mnato kibao zinaonyesha watu wengi sana, wewe zote hizo unazi-ignore halafu unasema watu walikuwa wachache bila kutoa ushahidi mbadala, huku ukiwaeleza watu wale wale wa hapa JF ambao wameona hizo picha za mnato zenye watu kibao !

Hivi nikukuita mpumba-vu nitakuwa nakosea ?

sipo katika ccm ila watu si wengi kule mkuu
 
.......Ubishi wa kitoto na wa kishamba kabisa huu,tatizo lenu magamba mna force ukweli uwe uongo,nyekundu kuwa njano imekula kwenu 2015 itabaki kuwa historia tu...

Mgogoro Chadema umeipa ushindi CCM 2015.
 
wewe ni mnafiki kama shetani alivyo.mawazo yako kama uharo wa fisi.kama sio mnafiki nani kakutuma uandike ulichoandika humu.sepa humu na pumba zako goigoi wewe
 
kwa kawaida picha zote zahabari hueditiwa, pia mabomu yalukuea hatawanyi mkutano, bali 'wale vijana wachache'

jibu murua kabisa, asipoelewa basi hata mbingu haimfai na shetani hamtaki
 
Ugonjwa wa macho unawasumbua Watanzania wengi, nenda hospitali ukapime kabla hujaharibikiwa zaidi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…