Naibu spika Job Yustino Ndugai usiku huu anatarajia kutoa majibu yake kuhusu tuhuma zilizovurumishwa na Waziri mkuu mstaafu (wa ukweli) Fredrick Sumaye katika kipindi cha dakika 45 kuanzia saa tatu usiku huu. Tutarajie mengi kutoka kwake
Malipoa Mazuri ni kama anatetea Posho zao,Ngoja tuone,maana anapinga hata viongozi wa dini,eti tunalaumiana tuu,Huyu alitakiwa kubebea Kopo awe Ombaomba
Naibu spika Job Yustino Ndugai usiku huu anatarajia kutoa majibu yake kuhusu tuhuma zilizovurumishwa na Waziri mkuu mstaafu (wa ukweli) Fredrick Sumaye katika kipindi cha dakika 45 kuanzia saa tatu usiku huu. Tutarajie mengi kutoka kwake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.