ITV Tanzania na Mchakato wa Katiba

ITV Tanzania na Mchakato wa Katiba

Nyanya mbichi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2011
Posts
3,716
Reaction score
2,218
Habari zenu wakuu

Katika kufuatilia kwa mchakato wa Katiba mpya leo hii kukabidhiwa kwa Rasimu iliyopendekezwa naona wameipotezea.

Kwa hili najiuliza kama walikua mstari mbele sana katika kutoa airtime aidha bila malipo au kwa malipo leo hii wako kimya .

Je:uongozi wamefanya hivyo kwa kuwa haijapendekezwa kiuhalisia na watanzania (majority) au kwa makusudi uonesha nao hawaikubali .

Tbc1 na wanaonesha live huku Znz na Clouds tv wamejiunga kupitia Tbc1.
 
Bado unaangalia hiyo tv ya maandamano na midahalo?
 
ITV licha mara kadhaa wanajifanya wapo 50-50 ila kiukweli wapo CDM zaid
 
ITV wanajulikana..Mengi anajulikana....usishangae kwa nini leo wamepotezea kwa kuwa wao ndio walikuwa wahariri wa tume ya jaji warioba na vitu walivyotaka viingizwe vikaingizwa....kwa hiyo tambua tu kuwa tume ya jaji warioba ilikuwa na watu nyuma ya pazia...na ndio waliokuwa wanafadhili midahalo kila kukicha...lakini tutafika tuu...
Habari zenu wakuu

Katika kufuatilia kwa mchakato wa Katiba mpya leo hii kukabidhiwa kwa Rasimu iliyopendekezwa naona wameipotezea.

Kwa hili najiuliza kama walikua mstari mbele sana katika kutoa airtime aidha bila malipo au kwa malipo leo hii wako kimya .

Je:uongozi wamefanya hivyo kwa kuwa haijapendekezwa kiuhalisia na watanzania (majority) au kwa makusudi uonesha nao hawaikubali .

Tbc1 na wanaonesha live huku Znz na Clouds tv wamejiunga kupitia Tbc1.
 
nafikiri TV YA TAIFA imeona si busara wala si jambo la heri kuripoti tukio la kichama na kuwaacha watanzania solemba.wako kitaifa zaidi.
 
Yaani Television ya Taifa(ITV),ionyeshe mapokezi ya katiba ya chama cha siasa!!?

Hata mimi ningeshangaa endapo kituo makini kingerusha maonyesho ya kipuuzi ya CCM!
 
itv wapo kimaslahi zaidi,wakae hewani bila malipo mda mwingi hivyo
 
Yaani Television ya Taifa(ITV),ionyeshe mapokezi ya katiba ya chama cha siasa!!?

Hata mimi ningeshangaa endapo kituo makini kingerusha maonyesho ya kipuuzi ya CCM!

hv unavopost umeangalia itv au ni hv hzo hbr zote wameonesha
 
Why ITV ndio uinange hapa? Star Tv, Channel ten, Mlimani Tv,Azam Tv nk mbona hawajarusha hayo matangazo ya kukabidhiana katiba na hajasema. Matangazo kama hayo huwa yanaripiwa pesa, sitta na makanjanja wake walitakiwa kulipa pesa ndefu kwa ITV ili matangazo yarushwe hewani. NOTE: Reginald Mengi ni Mwanachama hai wa CCM toka 1977 na kila mwaka anaichangia CCM zaidi ya 500milioni.
 
Katiba inayopendekezwa imetoa majibu ya malalamiko yetu. Msitudanganye tunaisoma wenyewe imekidhi 90 percent.
 
Itv ni tv ya taifa haiwezi kurusha hewani mambo binafsi ya ccm labda mlipie maana hilo si jambo la kitaifa so hawawezi kurusha bure
 
Back
Top Bottom