Zumbe Kimweru
JF-Expert Member
- Jul 13, 2014
- 340
- 27
thubutu, TBC inaangaliwa zaidi, followed by others. Azam TV kwa sasa bado wajipange maana kama si ligi ya bongo, hakuna kipindi kingine chenye mvuto.
we punguza ulumumba uo...nani anaangalia tbc sku izi!!?...Labda wakina mama wanaangali cherekochereko....yan tv ya taifa inaonyesha vichen party!!!!