ITV, Radio one na Nipashe (IPP Media) mnailinda Serikali?

Mjema Vushanje

Senior Member
Sep 24, 2017
159
353
Baada ya kuaminiwa na watanzania kwa muda mrefu imefikia hatua sasa hawa jamaa wametugeuka, yaani hata TBC sasa wana nafuu, mambo wanayofanya hayaambiliki.

Habari zinazoikosoa serikali wanatia kapuni, habari njema kwa wapinzani wanatia kapuni ama wanatangaza tofauti au kwa ufinyu mnoooo!

Jamani tusipowapigia kelele watapotosha wengi maana kumbukeni kuwa watz wengine inawachukua muda sana kubaini hayo mabadiliko.

Yan leo nilikuwa na simu yangu napitia magazeti na kwa bahati nzuri radio one nao wakawa wanasoma heading za magazeti....


Yani ilibidi niangalie vizuri tarehe maana nilidhani labda yale magazeti ninayosoma mm kwenye simu ni ya jana,

Yani jamaa wanadokoa vile vihabari visivyo na uzito na kuacha mijihabari muhimu eti kwa kuwa wanahisi sio nzuri kwa serikali,

Sio hivyo tu...

Wanapofikia kwenye habari za kuuponda upande mwingine ambazo zinaandikwa sana habari leo, uhuru, mzalendo, Tazama n.k jamaa wanasoma kila kitu.

This is not not not fair...

Nadhni ni wakati sasa wamiliki wa magazeti wakatae IPP MEDIA kuchambua magazeti yao!
 
Baada ya kuaminiwa na watanzania kwa muda mrefu imefikia hatua sasa hawa jamaa wametugeuka, yaani hata TBC sasa wana nafuu, mambo wanayofanya hayaambiliki.

Habari zinazoikosoa serikali wanatia kapuni, habari njema kwa wapinzani wanatia kapuni ama wanatangaza tofauti au kwa ufinyu mnoooo!

Jamani tusipowapigia kelele watapotosha wengi maana kumbukeni kuwa watz wengine inawachukua muda sana kubaini hayo mabadiliko.

Yan leo nilikuwa na simu yangu napitia magazeti na kwa bahati nzuri radio one nao wakawa wanasoma heading za magazeti....


Yani ilibidi niangalie vizuri tarehe maana nilidhani labda yale magazeti ninayosoma mm kwenye simu ni ya jana,

Yani jamaa wanadokoa vile vihabari visivyo na uzito na kuacha mijihabari muhimu eti kwa kuwa wanahisi sio nzuri kwa serikali,

Sio hivyo tu...

Wanapofikia kwenye habari za kuuponda upande mwingine ambazo zinaandikwa sana habari leo, uhuru, mzalendo, Tazama n.k jamaa wanasoma kila kitu.

This is not not not fair...

Nadhni ni wakati sasa wamiliki wa magazeti wakatae IPP MEDIA kuchambua magazeti yao!
Anza kuwalipa mishahara wafanyakazi wa mwanahalisi kwanza ndio IPP itarudi zama zake za kuwa chombo huru.

Chombo cha habari Tanzania ni JF tu, huko kwenye magazeti unatafita nini?

Mimi sikumbuki mara ya mwisho kununuwa gazeti ilikuwa ni lini, mara nyingi magazeti mimi nayasoma maofisini na hotelini zile free copy.
 
Baada ya kuaminiwa na watanzania kwa muda mrefu imefikia hatua sasa hawa jamaa wametugeuka, yaani hata TBC sasa wana nafuu, mambo wanayofanya hayaambiliki.

Habari zinazoikosoa serikali wanatia kapuni, habari njema kwa wapinzani wanatia kapuni ama wanatangaza tofauti au kwa ufinyu mnoooo!

Jamani tusipowapigia kelele watapotosha wengi maana kumbukeni kuwa watz wengine inawachukua muda sana kubaini hayo mabadiliko.

Yan leo nilikuwa na simu yangu napitia magazeti na kwa bahati nzuri radio one nao wakawa wanasoma heading za magazeti....


Yani ilibidi niangalie vizuri tarehe maana nilidhani labda yale magazeti ninayosoma mm kwenye simu ni ya jana,

Yani jamaa wanadokoa vile vihabari visivyo na uzito na kuacha mijihabari muhimu eti kwa kuwa wanahisi sio nzuri kwa serikali,

Sio hivyo tu...

Wanapofikia kwenye habari za kuuponda upande mwingine ambazo zinaandikwa sana habari leo, uhuru, mzalendo, Tazama n.k jamaa wanasoma kila kitu.

This is not not not fair...

Nadhni ni wakati sasa wamiliki wa magazeti wakatae IPP MEDIA kuchambua magazeti yao!
Mengi anadaiwa na iliyokuwa nbc. Alikopa mahela kibao na ndio chanzo ya ipp yaani biashara za Mengi. Hivyo anaogopa Magu anaweza kumkumbushia, Bashite kamwonya akileta mchezo wanafukua makaburi. Ndio maana Mengi kafyata
 
Baada ya kuaminiwa na watanzania kwa muda mrefu imefikia hatua sasa hawa jamaa wametugeuka, yaani hata TBC sasa wana nafuu, mambo wanayofanya hayaambiliki.

Habari zinazoikosoa serikali wanatia kapuni, habari njema kwa wapinzani wanatia kapuni ama wanatangaza tofauti au kwa ufinyu mnoooo!

Jamani tusipowapigia kelele watapotosha wengi maana kumbukeni kuwa watz wengine inawachukua muda sana kubaini hayo mabadiliko.

Yan leo nilikuwa na simu yangu napitia magazeti na kwa bahati nzuri radio one nao wakawa wanasoma heading za magazeti....


Yani ilibidi niangalie vizuri tarehe maana nilidhani labda yale magazeti ninayosoma mm kwenye simu ni ya jana,

Yani jamaa wanadokoa vile vihabari visivyo na uzito na kuacha mijihabari muhimu eti kwa kuwa wanahisi sio nzuri kwa serikali,

Sio hivyo tu...

Wanapofikia kwenye habari za kuuponda upande mwingine ambazo zinaandikwa sana habari leo, uhuru, mzalendo, Tazama n.k jamaa wanasoma kila kitu.

This is not not not fair...

Nadhni ni wakati sasa wamiliki wa magazeti wakatae IPP MEDIA kuchambua magazeti yao!
Mkuu pambana na hali yako!
 
Ugali wa mengi unategemea vitu hivo so aanze zogo na serikali hii unadhan itakuaje so kwamba haoni sema basi tu anaamua kufa na kijiba cha roho
 
Bavicha mna matatizo ya akili! Mmeshashauriwa mara ngapi kuanzisha vyombo vyenu vya habari!? Mnajifanya mnajua kuongea mbona mnamuogopa Mbowe kumwambia ukweli kuhusu kuanzisha media za chama!!! Mnabaki kulia lia na media za watu!! Unajua mlengo wa mmiliki au unataka kumpangia cha kuandika, kutangaza na kuonyesha??!?
 
Bavicha mna matatizo ya akili! Mmeshashauriwa mara ngapi kuanzisha vyombo vyenu vya habari!? Mnajifanya mnajua kuongea mbona mnamuogopa Mbowe kumwambia ukweli kuhusu kuanzisha media za chama!!! Mnabaki kulia lia na media za watu!! Unajua mlengo wa mmiliki au unataka kumpangia cha kuandika, kutangaza na kuonyesha??!?

Hivi duniani huwa tunatakiw akutangaza ukweli au mlengo wa mmiliki?
 
Daaa yaan nimejaribu kufatilia hivi vyombo vya Mengi ki ukweli wameachana na kaz ya kuhabarisha kile kilicho katika jamii. Wanatoa kile atakacho JPM. Soon watakua kama TBC
 
Back
Top Bottom