Itv na uchomaji wa makanisa vs ajali za meli

Yalipochomwa makanisa uliripoti?Au mkuki kwa nguruwe?unajua hii ni ajali,lkn kuchoma makanisa lilikuwa tukio la kudhamiria kabisa.
Au agaizo lilikuwa la Mwenyekiti mtendaji kutuma timu kabambe ya makanisa? ITV acheni UDINI wenu
 
Ni kweli mkuu... Kwenye RED pana ujumbe mzito.
mkuu pumzika saivi, au leo kuna ofa ya net? kila uzi upo unamwaga sum, na kwa imani yako kama hawajakupa ata uchungaji watakua hawajakutendea haki.
 
Hawa vilaza sijui wametokea wapi JF....Zanzibar si ni nchi?? si ina TVZ??

Join Date : 19th July 2012

Posts : 33

Rep Power : 307
Likes Received 0

Likes Given 0
Hahahaha, kweli lakini si wana TVZ???
 
Inaonekana ITV lilopokuja swala la Kuchoma makanisa ilivalia njuga na hata kufikia kupotosha watz.
Lkn kuhusu kuzama kwa MV SPICE na tukio hili la sasa ni tofauti kabisa inavyoripoti.
Breaking news ilikuwa kila wakati
Wkati wa tunaarifiwa uchomaji wa makanisa zanzibar. itv ilituma waandishi ndege nzima na Kukaa karibu na kila kanisa.
lkn Linapokua swala la majanga huko Zanzibar. itv Haina hata habari.
AU tuzo ya Udkta wa Biblia aliokabidhiwa Mwenyekiti mtendaji ?
Hayo ndiyo malipo ya uchomaji wa makanisa, nyie mlipochoma nyumba za Mungu mlitegemea nini? mnakumbuka sodoma na gomora??? enzi za nuhu??? na bado, kumbukeni nyie mko kwenye kakisiwa kadogo sana na kanaweza kufunikwa wakati wowote na maji. hebu na tuuvunje huu muungano ili yakiwakuta msitupigie kelele za misaada
 
Kiranja Mkuu alianzisha hii; naona imeondolewa haraka. Udini unawasumbuwa sana!
Kidonda kikiwa kingali kibichi, mchungaji anayehubiri maeneo ya Sokoni Kariakoo amesema, kuwa mfululizo wa majanga ya ajali ya meli yametokana na laana kwa Wazanzibari kuchoma makanisa visiwani humo.
 
Hayo ndiyo malipo ya uchomaji wa makanisa, nyie mlipochoma nyumba za Mungu mlitegemea nini? mnakumbuka sodoma na gomora??? enzi za nuhu??? na bado, kumbukeni nyie mko kwenye kakisiwa kadogo sana na kanaweza kufunikwa wakati wowote na maji. hebu na tuuvunje huu muungano ili yakiwakuta msitupigie kelele za misaada
na mv Bukoba ilikuwa laana ya nani?
 
Kekele zote za kukataa muungano bado mnategemea chombo cha habari cha mtu binafsi kiwatangazie habari embu fikirieni mara mbili alafu ndio mje na kelele za kuvunja muungano
 
Inaonekana ITV lilopokuja swala la Kuchoma makanisa ilivalia njuga na hata kufikia kupotosha watz.
Lkn kuhusu kuzama kwa MV SPICE na tukio hili la sasa ni tofauti kabisa inavyoripoti.
Breaking news ilikuwa kila wakati
Wkati wa tunaarifiwa uchomaji wa makanisa zanzibar. itv ilituma waandishi ndege nzima na Kukaa karibu na kila kanisa.
lkn Linapokua swala la majanga huko Zanzibar. itv Haina hata habari.
AU tuzo ya Udkta wa Biblia aliokabidhiwa Mwenyekiti mtendaji ?

Haya malalamiko yaviende vyombo vyote vya habari vya bara na si itv pekee maana mamuziki wanayoyazibua ni kama hakuna kilichokea
 
haya malalamiko yaviende vyombo vyote vya habari vya bara na si itv pekee maana mamuziki wanayoyazibua ni kama hakuna kilichokea

itv ilichukulia kwa umakini mkubwa kinachoitwa makanisa kuchomwa. Lkn haya ya msingi wanapiga propaganda
 
Nenda zako huko kama umekereka sana kafungueni itv yenu visiwani huko nyie hata amueleweki mara muungano unatunyonya n tunataka kubaki n zanzibar yetu lakini yanapokuja matatizo matuona wabara tunamaana kweli kawaiteni uhamsho wawasaidieni basi
 
umeangalia taarifa ya habari ya ITV ya leo tarehe 19? Almost robo tatu ya segment ya habari ya kitaifa imebeba habari ya hiyo ajali. Mtu binafsi au kampuni ikianzisha chombo chake cha habari anakuwa na malengo yake likewise kwa ITV. Hapo ndio mwisho wa wengi wenu kufikiri yaani udini. Mengi anahusikaje na upangaji wa vipindi ITV? Hilo wanaweza Mukama na Nape kwa TBCCM. Ni kazi sana kuishi na waislam.
 
inaonekana kulalamika ni kauli mbiu yako. si vyema kukurupuka kutoka kwenye vibanda vya kahawa na kuja kutupumzikia.
 
Msameheni tu huyu jamaa aliyeleta huu uzi, tatizo ni gonjwa la udini linalomsumbua. Anahitaji tiba.
 
Watu hamuishi kulalamika, ulitaka waloweke na kuzamisha camera zao ndani ya maji ya bahari ilipozama meli ndo ujue kuwa wanajali sana? Au ulitaka habari nzima iwe ni ajali ya meli na baada ya hapo mwisho wa habari? Avoid pessimism kamanda!!!
 
Nadhani ni upotoshaji wa ukweli. Hata hivyo hata mimi nakosa mwamko wa kufuatilia habari za ajali kwa sababu ya uzembe uliopo; chombo kimeondoka saa 6 mchana kimeanza kupata misuko suko hadi kinaanza kuzama hakuna hatua za kueleweka zilizochukuliwa sasa kuangalia viongozi wanatoa pole?. Hii ni ajali ya tatu kwa nchi hii, hivi hakuna mafunzo yeyote tuliyopata tangu MV Bukoba na Spice Islander?. Kama taifa hatuelezeki kati ya mataifa.:sleepy:
 
Wewe ni....

tofauti.jpg
 
uhusiano wa kuchomwa makanisa na kuzama meli? kweli nimeamini kuwa kuna watu ambao ni wa aina yake. bila shaka una mahusiano kabisa na uchomaji wa makanisa wewe. itv ni chombo ambacho kinafanya kazi nzuri tena bila upendeleo kuliko hivyo vilivyoko kwako huko ambavo ni bias kupita maelezo. acha roho hiyo itakuondoa.
 
Mara nyingi waliozoea kuangalia TBC ndo wenye Hoja Dhaifu!Hamuwaoni Bungeni mule!Na ukifuatilia sana hata wanaofeli sana mashuleni ni wanotazama sana TBC pia!Hata watangazaji wao mnawaonaje?Si wanafanana na huyu jamaa aliye leta Hoja dhaifu hapa!na inaonyesha ndo kwa mara ya kwanza ameanza kuangalia TV za kijanja so hajachelewa sana hata hivyo!Tungempotezea tu muda si mrefu atajitambua kuwa alikuwa akitoa Mashudu!
 
mkuu pumzika saivi, au leo kuna ofa ya net? kila uzi upo unamwaga sum, na kwa imani yako kama hawajakupa ata uchungaji watakua hawajakutendea haki.

Hahahahaaa...i am just a layman wala siko huko kwenye uchungaji mkuu nakereka sana na hawa jamaa wanaotumia udini kwenye kila jambo hata pasipokuwa na sababu.
 
Back
Top Bottom