Itv na uchomaji wa makanisa vs ajali za meli

Itv na uchomaji wa makanisa vs ajali za meli

Mwanajamii

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2008
Posts
7,063
Reaction score
71
Inaonekana ITV lilopokuja swala la Kuchoma makanisa ilivalia njuga na hata kufikia kupotosha watz.
Lkn kuhusu kuzama kwa MV SPICE na tukio hili la sasa ni tofauti kabisa inavyoripoti.
Breaking news ilikuwa kila wakati
Wkati wa tunaarifiwa uchomaji wa makanisa zanzibar. itv ilituma waandishi ndege nzima na Kukaa karibu na kila kanisa.
lkn Linapokua swala la majanga huko Zanzibar. itv Haina hata habari.
AU tuzo ya Udkta wa Biblia aliokabidhiwa Mwenyekiti mtendaji ?

PICT2430.JPG



Sheikh Azzan wa UAMSHO akizungumza na waandishi wa HABARI MAISARA LEO
 
Hawa vilaza sijui wametokea wapi JF....Zanzibar si ni nchi?? si ina TVZ??

Join Date : 19th July 2012

Posts : 33

Rep Power : 307
Likes Received 0

Likes Given 0
 
Hawa vilaza sijui wametokea wapi JF....Zanzibar si ni nchi?? si ina TVZ??

Join Date : 19th July 2012

Posts : 33

Rep Power : 307
Likes Received 0

Likes Given 0

kwa hivyo, ITV inaenda zanzibar kwa ajili ya Kupotosha?
 
Inaonekana ITV lilopokuja swala la Kuchoma makanisa ilivalia njuga na hata kufikia kupotosha watz.
Lkn kuhusu kuzama kwa MV SPICE na tukio hili la sasa ni tofauti kabisa inavyoripoti.
Breaking news ilikuwa kila wakati
Wkati wa tunaarifiwa uchomaji wa makanisa zanzibar. itv ilituma waandishi ndege nzima na Kukaa karibu na kila kanisa.
lkn Linapokua swala la majanga huko Zanzibar. itv Haina hata habari.
AU tuzo ya Udkta wa Biblia aliokabidhiwa Mwenyekiti mtendaji ?

Mbona jana hadi usiku nilipokwenda kulala, ITV walikuwa bado wana-interrupt programs zingine periodically na kujiunga na Farouk Karim wa Zanzibar kutoa updates za kinachoendelea eneo la tukio la ajali. Au ni nini hasa unazungumzia? Come to think of it, kwani meli iliyozama ilikuwa ni ya msafara maalum wa 'dini' fulani?
 
taarifa ya kwanza kuwa kuna meli imezama nilisikia itv tena ilikuwa mida ya kama saa sita ivi....nashangaa wanalalama kuwa hawajatangaza,
 
Ya kwenye vijiwe vya kahawa uciyalete hapa tafadhali.. Tuna macikitiko ya kuwapoteza wenzetu wewe unakuja na utumbo..
 
Ni lazima utazame ITV? Kaombe kazi pale ili urekebishe hayo, au wasiliana nao moja kwa moja kwa anuani zao uwape kero zako, wala huna haja ya kuwatangazia na wengine wanaotazama channel nyingine. Halafu hiyo ITV unaitazama kuanzia asubuhi hadi asubuhi (24 hours) kiasi cha kujustify conclusion yako hii?
 
Nadhani ni coverage tu hawajapata watarusha tu. Ajali ni mbaya sana, Mungu awape nguvu majeruhi na kuwafariji wafiwa wote.

Ila jamani tusiwe tunatumia dini tunazoitikadi kuchoma, kuuwa au kuharibu mali za wengine wasio wa dini yetu. Tutapata laana na kusababishia matatizo kwa jamii zetu, pia hata kwenye hizo dini tunazodhani tumesimamia tutapata dhambi nzito.
Poleni sana
 
Sasa wewe ulitaka ITV watume wanahabari baharini kwa kutumia chombo gani, maana kama ni bahari ilikuwa imechafuka. Tafadhari fikiri kabla ya kuposti chochote
 
Nadhani ni coverage tu hawajapata watarusha tu. Ajali ni mbaya sana, Mungu awape nguvu majeruhi na kuwafariji wafiwa wote.

Ila jamani tusiwe tunatumia dini tunazoitikadi kuchoma, kuuwa au kuharibu mali za wengine wasio wa dini yetu. Tutapata laana na kusababishia matatizo kwa jamii zetu, pia hata kwenye hizo dini tunazodhani tumesimamia tutapata dhambi nzito.
Poleni sana

Ni kweli mkuu... Kwenye RED pana ujumbe mzito.
 
Sasa wewe ulitaka ITV watume wanahabari baharini kwa kutumia chombo gani, maana kama ni bahari ilikuwa imechafuka. Tafadhari fikiri kabla ya kuposti chochote

Undhani hajui?? agenda yake ni tofauti na mnayoijadili hapa.....dawa ya watu kama hawa unawawasha tu straight
 
Kwani ITV ni suala la Muungano ?.

Inaonekana ITV lilopokuja swala la Kuchoma makanisa ilivalia njuga na hata kufikia kupotosha watz.
Lkn kuhusu kuzama kwa MV SPICE na tukio hili la sasa ni tofauti kabisa inavyoripoti.
Breaking news ilikuwa kila wakati
Wkati wa tunaarifiwa uchomaji wa makanisa zanzibar. itv ilituma waandishi ndege nzima na Kukaa karibu na kila kanisa.
lkn Linapokua swala la majanga huko Zanzibar. itv Haina hata habari.
AU tuzo ya Udkta wa Biblia aliokabidhiwa Mwenyekiti mtendaji ?
 
Mnahubiri kuuvunja Muungano. Hamtabaki salama-Mwalimu. Karibu waZanzibar elfu kumi wanakuja Dar na kurudi Znz kwa siku. Halafu Muungano hamuutaki! Kweli?
 
Inaonekana ITV lilopokuja swala la Kuchoma makanisa ilivalia njuga na hata kufikia kupotosha watz.
Lkn kuhusu kuzama kwa MV SPICE na tukio hili la sasa ni tofauti kabisa inavyoripoti.
Breaking news ilikuwa kila wakati
Wkati wa tunaarifiwa uchomaji wa makanisa zanzibar. itv ilituma waandishi ndege nzima na Kukaa karibu na kila kanisa.
lkn Linapokua swala la majanga huko Zanzibar. itv Haina hata habari.
AU tuzo ya Udkta wa Biblia aliokabidhiwa Mwenyekiti mtendaji ?

ITV sio chombo cha umma ni mali ya mtu binafsi ndg.REGINALD MENGI, hata akiamua kuweka sinema za nyumbani kwake hiyo haikuhusu ilimradi havunji sheria, Ungekuwa mwerevu ungedili na kuikosoa TBCCM na TVZ zinazokesha zikionyesha qaswida ilhali ni mali ya watanzania wote!
 
Back
Top Bottom