Wakuu,
Nafurahishwa sana na ITV kutuhabarisha mikutano ya M4C ya CDM kusini mwa TZ inavyoendelea lakini dosari ninayoiona ni kutuonesha picha ya aina moja tu ile ya Jangwani inayoonyesha umati mkubwa wa watu wakinyoosha mikono juu kupiga pipooooozzzzz...pawaaaaaa....
Ni mara nyingi nimeliona hili mpaka kwny taarifa ya habari ya saa 12 asbh hii.
Je ni kukosa picha za sehemu husika? Au ni kutaka kutuonyesha CDM wanajaza sana watu kwny mikutano yao yote hata kama sivyo? Sitaki kuamini hili la mwisho.
Nawasilisha.
Nafurahishwa sana na ITV kutuhabarisha mikutano ya M4C ya CDM kusini mwa TZ inavyoendelea lakini dosari ninayoiona ni kutuonesha picha ya aina moja tu ile ya Jangwani inayoonyesha umati mkubwa wa watu wakinyoosha mikono juu kupiga pipooooozzzzz...pawaaaaaa....
Ni mara nyingi nimeliona hili mpaka kwny taarifa ya habari ya saa 12 asbh hii.
Je ni kukosa picha za sehemu husika? Au ni kutaka kutuonyesha CDM wanajaza sana watu kwny mikutano yao yote hata kama sivyo? Sitaki kuamini hili la mwisho.
Nawasilisha.