ITV kweli kesi ya Mbowe hamkuisikia?

ITV kweli kesi ya Mbowe hamkuisikia?

Ghosryder

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2014
Posts
10,707
Reaction score
4,577
Hukumu ya Mbowe kufungwa mwaka mmoja au au faini.mil 1 Hamkuitangaza hii imeonyesha wazi nyie ni pro chadema wazi wazi.
 
Mbona tbc hawaja tangaza mkuu

Wangetangaza tbc mngesema ni tbccm, tukaviachia vyombo huru na imerushwa na Star tv tu. imekuwaje au ndio ule msemo wachaga wanabebana!
 
Kama umeshajua kapewa hukumu,itv itangaze ili iweje sasa?
 
Hukumu ya Mbowe kufungwa mwaka mmoja au au faini.mil 1 Hamkuitangaza hii imeonyesha wazi nyie ni pro chadema wazi wazi.
Hiyo habari ina umuhimu kuliko habari zilizotangazwa? Anyway chombo gani kingine kimetangaza hiyo habari?
 
Wangetangaza tbc mngesema ni tbccm, tukaviachia vyombo huru na imerushwa na Star tv tu. imekuwaje au ndio ule msemo wachaga wanabebana!

Hujui mifumo ya habari kijana tulia endelea kuwa wakijani
Nenda kasome what is news utaelewa na jua tv redio,na magazeti ni old media na sio new media kama facebook.na blogs thats why habari ya mboe si habari kwa maana ukifuata sifa za.habari
 
Back
Top Bottom