ITV kwanini hamtumii HD?

ITV kwanini hamtumii HD?

ITV hivi kwanini hamtumii HD mi siwaelewi mjue japo na nyie Sasa ni ITVCCM ila jitahidini muwe HD bana. Mnashindwa na pacha wenu TBCCM?
HD ina MB nyingi na Vifurushi vya Satellite ni gharama sana! Na kwa sasa TV za Tanzania azipati mapato kama zamani. Pia Hardware za HD ni ghali mno,So kulipia HD Satellite Bundles ITV itakufa
 
Tv matraco hii tunaipenda sana, imetukuza hadi kufikia hapa, mzee wangu tangu utoto wake amelikuta lile Isidingo, name nimelikuta na nikategemea kuwalisisha wajukuu zangu ila bahati mbaya limejifia hapo mwaka juzi tu.
Shida ni ccm kwasababu media zote zimepigwa ban kutangaza mambo ambayo wanasiasa wa ma ccm hawapendi kuyasikia.
 
ITV siku hizi imekuwa tambara la CCM la kujifutia.

Wasipobadilika, Muda sio mrefu watavuna wanachokipanda.
 
Bora umesema
Hadi lini hii hali 🤔 hadi mwaka gani?
Wengine wanazidi kuwa na high quality.
 
ITV ni kamma online TV tu...

Dunia sasa inaelekea kwenye 8K video contents, wao wangali wanarusha picha kwa SD...
 
Back
Top Bottom