swagazetu JF-Expert Member Joined Nov 28, 2013 Posts 4,253 Reaction score 1,475 Aug 15, 2015 #1 Inakuwaje Itv taarifa zinazohusu Ukawa hazitangazwi ama zinatangazwa mwishoni kabisa.chanel zingine hatusemi naana tunajua startv na tbccm ni makada. Chanel iliyokuwa imebaki ni Itv sasa napata hofu kuanzia jumanne taarifa za ukawa zikobmwishoni au hazisomwi kabisa. Vipi itv mmenunuliwa? Mmetishwa? Au kuna nn?
Inakuwaje Itv taarifa zinazohusu Ukawa hazitangazwi ama zinatangazwa mwishoni kabisa.chanel zingine hatusemi naana tunajua startv na tbccm ni makada. Chanel iliyokuwa imebaki ni Itv sasa napata hofu kuanzia jumanne taarifa za ukawa zikobmwishoni au hazisomwi kabisa. Vipi itv mmenunuliwa? Mmetishwa? Au kuna nn?
M matiba Member Joined Jul 11, 2015 Posts 12 Reaction score 0 Aug 15, 2015 #2 Nashangaa...hata chanel ten hawajatangaza kabisa...
funaku JF-Expert Member Joined Oct 12, 2011 Posts 38,534 Reaction score 31,198 Aug 15, 2015 #3 Kama hamjawalipa unategemea watangaze bure?
kwamtoro JF-Expert Member Joined Nov 15, 2010 Posts 4,922 Reaction score 3,244 Aug 15, 2015 #4 Vyombo vya habari vyote vya tanzania kwisha habari zao. Zimejiunga kwenye ukoo wa panya
Ibada ya kwanza JF-Expert Member Joined Mar 21, 2013 Posts 3,282 Reaction score 1,810 Aug 15, 2015 #5 Wahuni kabisa
Ellyson JF-Expert Member Joined Nov 13, 2010 Posts 1,714 Reaction score 405 Aug 15, 2015 #6 Wamezuiwa kabisa na mamlaka ya juu kusoma habari za wapinzani. Hii ndiyi Tanzania.
Ibada ya kwanza JF-Expert Member Joined Mar 21, 2013 Posts 3,282 Reaction score 1,810 Aug 15, 2015 #7 Mambo yote ni Azam tv na mitandao ya kijamii
Ndiho JF-Expert Member Joined Feb 23, 2013 Posts 2,306 Reaction score 1,535 Aug 15, 2015 #8 swagazetu said: Inakuwaje Itv taarifa zinazohusu Ukawa hazitangazwi ama zinatangazwa mwishoni kabisa.chanel zingine hatusemi naana tunajua startv na tbccm ni makada. Chanel iliyokuwa imebaki ni Itv sasa napata hofu kuanzia jumanne taarifa za ukawa zikobmwishoni au hazisomwi kabisa. Vipi itv mmenunuliwa? Mmetishwa? Au kuna nn? Click to expand... Watasoma tu mkuu, wory not
swagazetu said: Inakuwaje Itv taarifa zinazohusu Ukawa hazitangazwi ama zinatangazwa mwishoni kabisa.chanel zingine hatusemi naana tunajua startv na tbccm ni makada. Chanel iliyokuwa imebaki ni Itv sasa napata hofu kuanzia jumanne taarifa za ukawa zikobmwishoni au hazisomwi kabisa. Vipi itv mmenunuliwa? Mmetishwa? Au kuna nn? Click to expand... Watasoma tu mkuu, wory not
Simiyu Yetu JF-Expert Member Joined Apr 29, 2013 Posts 18,949 Reaction score 4,643 Aug 15, 2015 #9 Anziaha Tv yenu na hilo fisadi lenu.
kitwala JF-Expert Member Joined Aug 31, 2012 Posts 1,476 Reaction score 1,066 Aug 15, 2015 #10 Itv nao wamekuwa wapuuzi tu. Any way whatsapp, facebook, instagram, twitta , jf sms, calls n.k Vitatumika kuikomboa Tanzania
Itv nao wamekuwa wapuuzi tu. Any way whatsapp, facebook, instagram, twitta , jf sms, calls n.k Vitatumika kuikomboa Tanzania
M2mwembamba JF-Expert Member Joined Feb 23, 2014 Posts 2,491 Reaction score 1,097 Aug 15, 2015 #11 Watakuwa wamenunuliwa si bure,hapa naangalia itv tukio la arusha juu ya ukawa hakuna
H hippocratessocrates JF-Expert Member Joined Jul 1, 2012 Posts 3,598 Reaction score 1,545 Aug 15, 2015 #12 jingalao said: Kama hamjawalipa unategemea watangaze bure? Click to expand... Aisee!
Eng.Livingstone JF-Expert Member Joined Aug 29, 2013 Posts 880 Reaction score 227 Aug 15, 2015 #13 kwa mfano hii sehemu niliyo kwa sasa ukisoma taarifa ya UKAWA ikiisha tu watu wote wanaondoka...we unategemea nini mi naona wako sawa....hawa hawajanunuliwa na kama wasipo isoma itakuwa ni tatizo pia kwao.
kwa mfano hii sehemu niliyo kwa sasa ukisoma taarifa ya UKAWA ikiisha tu watu wote wanaondoka...we unategemea nini mi naona wako sawa....hawa hawajanunuliwa na kama wasipo isoma itakuwa ni tatizo pia kwao.
H hippocratessocrates JF-Expert Member Joined Jul 1, 2012 Posts 3,598 Reaction score 1,545 Aug 15, 2015 #15 kitwala said: Itv nao wamekuwa wapuuzi tu. Any way whatsapp, facebook, instagram, twitta , jf sms, calls n.k Vitatumika kuikomboa Tanzania Click to expand... Baada ya ukombozi hivi vituo vya habari sijui vitajirudi au sijui vitakuwa na hali gani!
kitwala said: Itv nao wamekuwa wapuuzi tu. Any way whatsapp, facebook, instagram, twitta , jf sms, calls n.k Vitatumika kuikomboa Tanzania Click to expand... Baada ya ukombozi hivi vituo vya habari sijui vitajirudi au sijui vitakuwa na hali gani!
M2mwembamba JF-Expert Member Joined Feb 23, 2014 Posts 2,491 Reaction score 1,097 Aug 15, 2015 #16 kitwala said: Itv nao wamekuwa wapuuzi tu. Any way whatsapp, facebook, instagram, twitta , jf sms, calls n.k Vitatumika kuikomboa Tanzania Click to expand... Kule vijijini hayo hayapo
kitwala said: Itv nao wamekuwa wapuuzi tu. Any way whatsapp, facebook, instagram, twitta , jf sms, calls n.k Vitatumika kuikomboa Tanzania Click to expand... Kule vijijini hayo hayapo
M mary lupondya New Member Joined Jul 29, 2015 Posts 2 Reaction score 0 Aug 15, 2015 #17 Hata mie nashangaa sana tatizo nn
N nkhome Member Joined Dec 9, 2014 Posts 78 Reaction score 10 Aug 15, 2015 #18 Kilaga said: Watasoma tu mkuu, wory not Click to expand... Hizooooooo, viva itv!
K Kingugwe JF-Expert Member Joined Jul 19, 2015 Posts 378 Reaction score 77 Aug 15, 2015 #19 Watangaze wasitangaze kichinjio ninacho