sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Uhandishi wa habari ni taaluma, na Nina imani kwa walio isoma wataniunga mkono.
Nimewashangaa ITV leo, kwa mpangilio wa habari zao mpaka nikashindwa kuwaelewa katika kupanga habari lazima muangalie ni habari gani Ina masilai mapana ya nchi mfano, habari zinazo usu kuyumba kwa Hali ya amani nchini ni habari nyeti sana.
Habari ya vifo vya watu watu mkoani rukwa ni habari ambayo ilitakiwa kutangazwa mapema kabla ya kutujulisha yakuwa Raisi alikutana na machinga Ikulu na kuwapooza wasiandamane baada ya kuwafukuza kutoka mahali waliko kuwa wakifanyia biashara na kuwapeleka pahala penye changamoto.
Lakini habari ya kuuawa kwa Watanzania wenzetu na watu wasio julikana ni muhimu kuliko hii ya Makamba kumfukuza msemajii wa Tanesco kwa kutopokea simu za wateja wanao piga simu kuuliza Kwa Nini umeme umekatika Ili hali msemaji sio fundi wa jenereta.
Msemaji ni mzembe anashindwa kupokea simu na kuwajibu wananchi yakuwa umeme unakatika kwa sababu sasahiv ni serikali ya awamu ya 6 Iko madarakani kipindi kire ilikuwa ya awamu ya Tano.
Nimewashangaa ITV leo, kwa mpangilio wa habari zao mpaka nikashindwa kuwaelewa katika kupanga habari lazima muangalie ni habari gani Ina masilai mapana ya nchi mfano, habari zinazo usu kuyumba kwa Hali ya amani nchini ni habari nyeti sana.
Habari ya vifo vya watu watu mkoani rukwa ni habari ambayo ilitakiwa kutangazwa mapema kabla ya kutujulisha yakuwa Raisi alikutana na machinga Ikulu na kuwapooza wasiandamane baada ya kuwafukuza kutoka mahali waliko kuwa wakifanyia biashara na kuwapeleka pahala penye changamoto.
Lakini habari ya kuuawa kwa Watanzania wenzetu na watu wasio julikana ni muhimu kuliko hii ya Makamba kumfukuza msemajii wa Tanesco kwa kutopokea simu za wateja wanao piga simu kuuliza Kwa Nini umeme umekatika Ili hali msemaji sio fundi wa jenereta.
Msemaji ni mzembe anashindwa kupokea simu na kuwajibu wananchi yakuwa umeme unakatika kwa sababu sasahiv ni serikali ya awamu ya 6 Iko madarakani kipindi kire ilikuwa ya awamu ya Tano.