Nimesikitishwa na kitendo cha Televisheni cha ITV kujiingiza katika vitendo vya Kuikebehi Zanzibar. Katka Kbonzo cha jana tarehe 28/07/09 ITV ilirusha kile kinachoonekana wazi wazi kuwakebehi Wazanzibari.
Maoni yangu: Si vizuri kwa vyombo vya habari vyenye hadhi kama ITV KUCHOKONOA mambo.
Maoni yangu: Si vizuri kwa vyombo vya habari vyenye hadhi kama ITV KUCHOKONOA mambo.